Derick Mukombozi alimpiga Ateba kibao

Derick Mukombozi alimpiga Ateba kibao

Magwangala

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2011
Posts
2,836
Reaction score
2,138
Baada ya kumwonesha kadi nyekundu mchezaji wa Namungo Derick Mukombozi,refa anaonekana akionesha ishara kuwa ameona kwa macho yake, Nahodha wa Namungo amenukuliwa amisema kuwa refa alimwambia kuwa amempa kadi kwa sababu alimpiga Ateba. Udhafu wa Azam ni kuwa hawana camera za kutosha kuonesha angle mbali mbali,lakini kwa kuangalia clip hii inayoonesha Mukombozi akirudisha mkono kwa haraka akiwa karibu na Ateba.Refa anastahili pongezi kwa kuwa makini kwenye huu mchezo

 
Mtamtetea sana. Ila usikute hata huyo Atteba mwenyewe hafahamu kama alipigwa kibao! Isipokuwa ni mwamuzi peke yake ndiyo ameona. Maana kama angepigwa kweli kibao, lazima kungetokea purukushani kati ya hao wachezaji wawili!

Ila kwa sababu muamala ulishasoma, mwamuzi hakuwa na namna. Isipokuwa kuuharibu tu mchezo ili kumfurahisha mtoa bahasha.
 
Mtamtetea sana. Ila usikute hata huyo Atteba mwenyewe hafahamu kama alipigwa kibao! Isipokuwa ni mwamuzi peke yake ndiyo ameona. Maana kama angepigwa kweli kibao, lazima kungetokea purukushani kati ya hao wachezaji wawili!

Ila kwa sababu muamala ulishasoma, mwamuzi hakuwa na namna. Isipokuwa kuuharibu tu mchezo ili kumfurahisha mtoa bahasha.
Ndiyo mlichokuwa mnakitafuta. Mnatuma wachezaji wachochee wachezaji wetu ili wakireact wale umeme wakose mechi muhimu.
 
Simba ilishinda 3.
Mijadala mingine kuhusu hii mechi vyura waijadili.
 
Ndiyo mlichokuwa mnakitafuta. Mnatuma wachezaji wachochee wachezaji wetu ili wakireact wale umeme wakose mechi muhimu.
Ukiondoa mahaba yako kwa timu yako ya simba, utakubaliana na mimi hakukuwepo na tukio lolote lile la Ateba kupigwa na yule mchezaji wa Namungo.

Na ndiyo maana mpaka muda huu kila mtetezi wa lile tukio anaongea la kwake! Jana mlisema yule mchezaji labda amemtukana refa! Mara amemdhalilisha Ateba! Mara amempiga Ateba! Mara Azam wameweka camera chache uwanjani!!

Huu wote ni ushahidi ile kadi nyekundu haikuwa clear red card!
 
Ukiondoa mahaba yako kwa timu yako ya simba, utakubaliana na mimi hakukuwepo na tukio lolote lile la Ateba kupigwa na yule mchezaji wa Namungo.

Na ndiyo maana mpaka muda huu kila mtetezi wa lile tukio anaongea la kwake! Jana mlisema yule mchezaji labda amemtukana refa! Mara amemdhalilisha Ateba! Mara amempiga Ateba! Mara Azam wameweka camera chache uwanjani!!

Huu wote ni ushahidi ile kadi nyekundu haikuwa clear red card!
Ukiweka mahaba pembeni utaona reaction ya Ateba kabla hata refa hajapuliza filimbi, halafu eti mnasema hata Ateba ameshangaa ile kadi. Mnatumia nguvu kubwa kufunika uhuni mnaofanya. Kamati ya TFF itaamua, kama siyo kadi halali itafutwa.
 
Huyo dogo wa Namungo namlaumu sana kwani aliwapa mzigo wenziwe baada ya kutolewa wakati walikuwa wamewashika Simba kiaina. Kwanza kabla ya kadi alishamsemea mbovu mwamuzi wakati Erato Nyoni anamlalamikia mwamuzi. Kwa kuwa alishamsemea mbovu mwamuzi alitakiwa awe makini asijihusishe na matukioa tata mchezoni. Kiukweli hicho kibao anachoonekana amepiga Ateba kinaonekana cha kwaida sana hata Ateba mwenyewe hakushtuka na wala hakikuwa na madhara yoyote. Lakini kwa kuwa inaonekana mwamuzi alikuwa anamtafuta akawa ameingia kwenye anga zake kwani sheria ni sheria tu awe Ateba kaumia au hajaumia.
 
Ukiondoa mahaba yako kwa timu yako ya simba, utakubaliana na mimi hakukuwepo na tukio lolote lile la Ateba kupigwa na yule mchezaji wa Namungo.

Na ndiyo maana mpaka muda huu kila mtetezi wa lile tukio anaongea la kwake! Jana mlisema yule mchezaji labda amemtukana refa! Mara amemdhalilisha Ateba! Mara amempiga Ateba! Mara Azam wameweka camera chache uwanjani!!

Huu wote ni ushahidi ile kadi nyekundu haikuwa clear red card!
Au tuseme ilikua damu ya mzee Au basi
 
Huyo dogo wa Namungo namlaumu sana kwani aliwapa mzigo wenziwe baada ya kutolewa wakati walikuwa wamewashika Simba kiaina. Kwanza kabla ya kadi alishamsemea mbovu mwamuzi wakati Erato Nyoni anamlalamikia mwamuzi. Kwa kuwa alishamsemea mbovu mwamuzi alitakiwa awe makini asijihusishe na matukioa tata mchezoni. Kiukweli hicho kibao anachoonekana amepiga Ateba kinaonekana cha kwaida sana hata Ateba mwenyewe hakushtuka na wala hakikuwa na madhara yoyote. Lakini kwa kuwa inaonekana mwamuzi alikuwa anamtafuta akawa ameingia kwenye anga zake kwani sheria ni sheria tu awe Ateba kaumia au hajaumia.
Wewe umefunga mjadala.

Cha kukurekebisha kidogo ni kwamba kwa alichofanya huyo Mkombozi, Ateba alistuka na alireact kwa kumuangalia na kumuongelesha kabla hata mwamuzi hajapiga filimbi na baada ya kadi Ateba bado alimnyooshea kidole.

Hata Ateba alipoenda kupiga ile penati nilikuwa nawaambia watu nilipokuwa naangalia mpira kuwa anaenda kukosa maana lile tukio lazima bado lilikuwa limemvuruga.
 
Back
Top Bottom