Derick Mukombozi alimpiga Ateba kibao

Derick Mukombozi alimpiga Ateba kibao

Baada ya kumwonesha kadi nyekundu mchezaji wa Namungo Derick Mukombozi,refa anaonekana akionesha ishara kuwa ameona kwa macho yake, Nahodha wa Namungo amenukuliwa amisema kuwa refa alimwambia kuwa amempa kadi kwa sababu alimpiga Ateba. Udhafu wa Azam ni kuwa hawana camera za kutosha kuonesha angle mbali mbali,lakini kwa kuangalia clip hii inayoonesha Mukombozi akirudisha mkono kwa haraka akiwa karibu na Ateba.Refa anastahili pongezi kwa kuwa makini kwenye huu mchezo

View attachment 3242916
Kuna watu mishipa ya aibu ilishakatika.
 
Baada ya kumwonesha kadi nyekundu mchezaji wa Namungo Derick Mukombozi,refa anaonekana akionesha ishara kuwa ameona kwa macho yake, Nahodha wa Namungo amenukuliwa amisema kuwa refa alimwambia kuwa amempa kadi kwa sababu alimpiga Ateba. Udhafu wa Azam ni kuwa hawana camera za kutosha kuonesha angle mbali mbali,lakini kwa kuangalia clip hii inayoonesha Mukombozi akirudisha mkono kwa haraka akiwa karibu na Ateba.Refa anastahili pongezi kwa kuwa makini kwenye huu mchezo

View attachment 3242916
Ukiangalia hii video inaonesha mkono wa huyo aliepatiwa red ukimove kutoka uelekeo alio Ateba.

Refa sio mjinga kutoa kadi nyekundu bila kosa.

Kauli ya Manara izingatiwe kipindi hiki maana hakukosea.
 
Baada ya kumwonesha kadi nyekundu mchezaji wa Namungo Derick Mukombozi,refa anaonekana akionesha ishara kuwa ameona kwa macho yake, Nahodha wa Namungo amenukuliwa amisema kuwa refa alimwambia kuwa amempa kadi kwa sababu alimpiga Ateba. Udhafu wa Azam ni kuwa hawana camera za kutosha kuonesha angle mbali mbali,lakini kwa kuangalia clip hii inayoonesha Mukombozi akirudisha mkono kwa haraka akiwa karibu na Ateba.Refa anastahili pongezi kwa kuwa makini kwenye huu mchezo

View attachment 3242916
We umeona ulichokiweka kwanza maana m naona kama mapepo yako pale kawe yakiombewa
 
We umeona ulichokiweka kwanza maana m naona kama mapepo yako pale kawe yakiombewa
Utaona vipi wakati umeangalia kwa jicho la kishabiki?wakati refa anaonesha ishara kuwa hilo tukio kaliona kwa macho yake,Kwa sababu camera za Azam hazioneshi basi ndio iwe hakufanya tukio? akili za wapi hizi?
 

Attachments

  • 20250221_145728.jpg
    20250221_145728.jpg
    89.8 KB · Views: 1
Kibao siku hizi ni sawa na kupewa zawadi?, Kwamba baada ya Ateba kupigwa mbona hakuonesha reaction ya kupigwa na akaendelea na harakati zingine?. Utetezi wakishoger huu...
 
Kibao siku hizi ni sawa na kupewa zawadi?, Kwamba baada ya Ateba kupigwa mbona hakuonesha reaction ya kupigwa na akaendelea na harakati zingine?. Utetezi wakishoger huu...
😅🤣😂Labda ndo Ile methali ya Kofi la mpenzi haliumizi
 
  • Kicheko
Reactions: Exy
Hata hivyo refa alienda na penati nne na kadi mbili nyekundu hakufikisha malengo yake ili apate mpunga mzuri..
 
Kibao siku hizi ni sawa na kupewa zawadi?, Kwamba baada ya Ateba kupigwa mbona hakuonesha reaction ya kupigwa na akaendelea na harakati zingine?. Utetezi wakishoger huu...
Moderator mpeni huyu haki yake
 
Ni mtu anayeangalia kwa jicho la kishabiki tu ndiye atabisha kuwa Mukombozi hakumpiga Ateba.Hapa inaonekana wazi kqbisa.Utopolo wanatumia tukio hili kuchepusha mjadala wa match fixing wanazofanya na matawi yao
 

Attachments

  • Tuachane na huo udhalilishaji ambao tunashukuru Mungu Camera ziliuficha. Haya na hili kofi la ...mp4
    2.4 MB
Mtamtetea sana. Ila usikute hata huyo Atteba mwenyewe hafahamu kama alipigwa kibao! Isipokuwa ni mwamuzi peke yake ndiyo ameona. Maana kama angepigwa kweli kibao, lazima kungetokea purukushani kati ya hao wachezaji wawili!

Ila kwa sababu muamala ulishasoma, mwamuzi hakuwa na namna. Isipokuwa kuuharibu tu mchezo ili kumfurahisha mtoa bahasha.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] punguza kulia sasa. Utaishiwa maji mwilini.
 
Back
Top Bottom