Kuna watu mishipa ya aibu ilishakatika.Baada ya kumwonesha kadi nyekundu mchezaji wa Namungo Derick Mukombozi,refa anaonekana akionesha ishara kuwa ameona kwa macho yake, Nahodha wa Namungo amenukuliwa amisema kuwa refa alimwambia kuwa amempa kadi kwa sababu alimpiga Ateba. Udhafu wa Azam ni kuwa hawana camera za kutosha kuonesha angle mbali mbali,lakini kwa kuangalia clip hii inayoonesha Mukombozi akirudisha mkono kwa haraka akiwa karibu na Ateba.Refa anastahili pongezi kwa kuwa makini kwenye huu mchezo
View attachment 3242916
Kuna watu wanataka kutumia mechi ya Namungo kupoteza mjadala wa match fixingKuna watu mishipa ya aibu ilishakatika.
Akikujibu unishtueHaya tuambie wew ile kadi nyekundu ilitoka kwa sababu gani?
Bila shaka mkuu?Akikujibu unishtue
Ukiangalia hii video inaonesha mkono wa huyo aliepatiwa red ukimove kutoka uelekeo alio Ateba.Baada ya kumwonesha kadi nyekundu mchezaji wa Namungo Derick Mukombozi,refa anaonekana akionesha ishara kuwa ameona kwa macho yake, Nahodha wa Namungo amenukuliwa amisema kuwa refa alimwambia kuwa amempa kadi kwa sababu alimpiga Ateba. Udhafu wa Azam ni kuwa hawana camera za kutosha kuonesha angle mbali mbali,lakini kwa kuangalia clip hii inayoonesha Mukombozi akirudisha mkono kwa haraka akiwa karibu na Ateba.Refa anastahili pongezi kwa kuwa makini kwenye huu mchezo
View attachment 3242916
We umeona ulichokiweka kwanza maana m naona kama mapepo yako pale kawe yakiombewaBaada ya kumwonesha kadi nyekundu mchezaji wa Namungo Derick Mukombozi,refa anaonekana akionesha ishara kuwa ameona kwa macho yake, Nahodha wa Namungo amenukuliwa amisema kuwa refa alimwambia kuwa amempa kadi kwa sababu alimpiga Ateba. Udhafu wa Azam ni kuwa hawana camera za kutosha kuonesha angle mbali mbali,lakini kwa kuangalia clip hii inayoonesha Mukombozi akirudisha mkono kwa haraka akiwa karibu na Ateba.Refa anastahili pongezi kwa kuwa makini kwenye huu mchezo
View attachment 3242916
Umenichekesha sanaMtamtetea sana. Ila usikute hata huyo Atteba mwenyewe hafahamu kama alipigwa kibao!
Utaona vipi wakati umeangalia kwa jicho la kishabiki?wakati refa anaonesha ishara kuwa hilo tukio kaliona kwa macho yake,Kwa sababu camera za Azam hazioneshi basi ndio iwe hakufanya tukio? akili za wapi hizi?We umeona ulichokiweka kwanza maana m naona kama mapepo yako pale kawe yakiombewa
😅🤣😂Labda ndo Ile methali ya Kofi la mpenzi haliumiziKibao siku hizi ni sawa na kupewa zawadi?, Kwamba baada ya Ateba kupigwa mbona hakuonesha reaction ya kupigwa na akaendelea na harakati zingine?. Utetezi wakishoger huu...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] punguza kulia sasa. Utaishiwa maji mwilini.Mtamtetea sana. Ila usikute hata huyo Atteba mwenyewe hafahamu kama alipigwa kibao! Isipokuwa ni mwamuzi peke yake ndiyo ameona. Maana kama angepigwa kweli kibao, lazima kungetokea purukushani kati ya hao wachezaji wawili!
Ila kwa sababu muamala ulishasoma, mwamuzi hakuwa na namna. Isipokuwa kuuharibu tu mchezo ili kumfurahisha mtoa bahasha.