Derna-Libya waliwahi kuikataa sharia kwa ajili ya demokrasia

Derna-Libya waliwahi kuikataa sharia kwa ajili ya demokrasia

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Mji wa Derna mashariki ya Libya ni mji wenye historia kubwa katika nchi hiyo.Ndiko walikozikwa maswahaba wengi wa Mtume s.a.w nchini humo jumla yao wakifikia 70.Na hata jeshi la Amru ibn Aas liliingia mji huo mwanzo kabla kuendelea upande wa magharibi.

Katika historia yake uliwahi kupigana na jeshi la Marekani na ndiko Marekani ilikopata ushindi wake wa mwanzo nje ya nchi yake mwaka 1805.

Ni mji uliotoa wapiganaji wengi waliokwenda kupigana nchini Iraq na Afghanistani.Baadae mji huo ulikuwa ni mji wenye uhasama sana na Muammara Ghadafi na ni miongoni mwa miji ya mwanzo ilioanzisha uasi dhidi yake.
Machafuko nchini Libya yaliyoungwa mkono na mataifa ya magharibi yalipofanikiwa kumuondoa Ghadafi madarakani kwa kumuua ,mji huo uliamua kujitenga na kujitawala kiislamu tangu mwaka 2011.Wezi walikatwa mikono na wazinifu kupigwa viboko.Msikiti uliotumika kama kituo cha utawala ni ule unaoitwa masjidu swahabi ambao ndio uko karibu na makaburi ya maswahaba waliozikwa mjini hapo

Hata hivyo wakazi wa mji huo walilalamika na kupeleleka malalamiko yao mpaka UN ambapo vikundi vingi vya wanaharakati vilingia kutetea wale waliopinga sharia.Wengi wa wapinzani hao walihama mji huo kukimbia utawala wa sharia.
Vita vya wenyewe kwa wenyewe vilipelekea mji huo kupigwa sana na generali Haftar ambaye alikuwa upande wa wanaopinga utawala wa kiislamu.Kauli zake za kupambana na vikundi vya kigaidi vilimpatia jenerali huyo misaada mingi ya kijeshi kutoka nje..Hatimae alifanikiwa kuwaondoa watawala hao.Na japo alifanikiwa kwa hilo lakini amebaki kutowaamini wakazi wa mji huo kutokana na hisroria yake,kama kwamba watafufuka wampinge.Kutokana na hilo Generali Haftari huwa ana mshirika wake anayetawala kwa sera zake bila mwenyewe kufika.

Katika miaka michache iliyopita historia ya mji huo imebadilika.Mbali na kuwa mji wa anasa pia ni miongoni mwa miji yenye upenzi mkubwa na mpira wa miguu..Timu ya 4 kwa ukubwa nchini Libya imo mjini Derna pamoja na uwanja mkubwa wa mpira.Kutwa kucha wakazi wengi wa mji huo wanajadili mpira na kubeti.Baadhi ya wachezaji wake maarufu ni akina Abdulhaq Al Tashani, Ahmed Souleimen Neffati, Idris Mikraz na Anis Mikraz.chini ya timu ya Darnes

Mafuriko yaliyotokea juzi yanakisiwa kusomba majumba mengi sana na wakazi wake wanaokadiriwa 20,000 kuwapeleka baharini ama kukandamizwa chini ya majengo yaliyoporomoka kutokana na mvua kali iliyonyesha kwa siku kadhaa.Mvua hizo zilizotokana na kimbunga chenye jina linalofanana na mji huo kilichoitwa Daniel .Mvua zilisababisha mabwawa mawili makubwa milimani kuzunguka mji wa Derna kujaa na kubomoka watu wakiwa wamelala.
Katika vipimo vya hali za hewa mvua iliyonyesha ina ukubwa wa sentimita 16 tu.Hata hivyo majengo yenye urefu mpaka ghorofa saba yamezama na kubomoka na hatimae kusombwa kuelekea baharini pamoja na wote waliokuwemo kama alivyoshuhudia Amna Al Ameen Absais,.
1694754511950.png


Masjid swahab pamoja na maji kupita eneo hilo na kusababisha uharibifu kwa majengo ya nje lakini bado umebaki katika hali nzuri.Kati ya maeneo yaliyoharibiwa vibaya ni pamoja na uwanja wa mpira wa Darne stadium.Wachezaji wanne maarufu wa Darne club ni miongoni mwa waliokufa katika janga hilo.
1694665517393.png



 
Kuna kahoja ka dini unataka kukapenyeza hapa ila hakana mashiko. Hao watu kukutaa sharia hakuna uhusiano na hilo tukio.

Somalia na sharia yao ukame huwatoa kamasi kila mwaka. Maeneo yanayosemwa ni matukufu huko Saudi Arabia yalipigwa radi majuzi hapa.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Kuna kahoja ka dini unataka kukapenyeza hapa ila hakana mashiko. Hao watu kukutaa sharia hakuna uhusiano na hilo tukio.

Somalia na sharia yao ukame huwatoa kamasi kila mwaka. Maeneo yanayosemwa ni matukufu huko Saudi Arabia yalipigwa radi majuzi hapa.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
... mwache aendelee kuwaza ujinga kwamba majanga yanawahusu makafir peke yao! Ubinadamu ni muhimu kuliko sifa nyingine zote zinazotugawa.
 
... mwache aendelee kuwaza ujinga kwamba majanga yanawahusu makafir peke yao! Ubinadamu ni muhimu kuliko sifa nyingine zote zinazotugawa.
Majanga yanayowakuta watu waliofikiwa na haki wakaikataa huwa ni makali zaidi.Watu zaidi ya elfu kumi kusombwa na maji usiite ni janga la kawaida.Lazima ujiulize.
Kama unaita ni ujinga basi usikae karibu na muislamu anayefanya maasi kwa kibri.
 
Majanga yanayowakuta watu waliofikiwa na haki wakaikataa huwa ni makali zaidi.Watu zaidi ya elfu kumi kusombwa na maji usiite ni janga la kawaida.Lazima ujiulize.
Kama unaita ni ujinga basi usikae karibu na muislamu anayefanya maasi kwa kibri.
Nyie watu ni wapumbavu sana.

Haya majanga yangetokea Sweden na Denmark wanapochoma Quran mngekuja na Propaganda zenu kuwa Alah amewaadhibu wanaochoma Quran.

Haya majanga yangetokea Ufaransa wanapokataza Hijabu na Abaya nako mngekuja na propaganda kuwa Alah anawaadhibu wafaransa.

Cha Ajabu haya majanga yamefululiza kwenye Nchi za Kiislam kama Uturuki, Morocco na sasa Libya... Mmebaki hamna cha kusema zaidi ya kutengeneza hoja za kijinga tu.

Pathetic.
 
Nyie watu ni wapumbavu sana.

Haya majanga yangetokea Sweden na Denmark wanapochoma Quran mngekuja na Propaganda zenu kuwa Alah amewaadhibu wanaochoma Quran.

Haya majanga yangetokea Ufaransa wanapokataza Hijabu na Abaya nako mngekuja na propaganda kuwa Alah anawaadhibu wafaransa.

Cha Ajabu haya majanga yamefululiza kwenye Nchi za Kiislam kama Uturuki, Morocco na sasa Libya... Mmebaki hamna cha kusema zaidi ya kutengeneza hoja za kijinga tu.

Pathetic.
Kila watu na wakati wao.Hakuna atakayeachwa bila kupewa kipigo chake.Allah huwa hana haraka.
Unapona wanafanya uasi na adhabu haiwapati papo kwa papo ndizo zinaitwa rehma za Allah.wanapewa muda wajitafakari.Wale ambao haki imewafikia na wakaipuuza kwa kibri hadithi yao ni tofauti.
 
Majanga haya yangewapata Baadhi ya Nchi flani hapa Duniani ndo Ingekuwa Trend Kila Kona ya Dunia ila Inapiga huko huko Upande Wa Pili
 
Hadithi yako inatufundisha nini?
 
Kuna kahoja ka dini unataka kukapenyeza hapa ila hakana mashiko. Hao watu kukutaa sharia hakuna uhusiano na hilo tukio.

Somalia na sharia yao ukame huwatoa kamasi kila mwaka. Maeneo yanayosemwa ni matukufu huko Saudi Arabia yalipigwa radi majuzi hapa.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Usidharau kwa kusema kuna kahoja.Hiyo ni historia tu.Chukua mazingatio kabla hayajatukuta
 
Majanga yanayowakuta watu waliofikiwa na haki wakaikataa huwa ni makali zaidi.Watu zaidi ya elfu kumi kusombwa na maji usiite ni janga la kawaida.Lazima ujiulize.
Kama unaita ni ujinga basi usikae karibu na muislamu anayefanya maasi kwa kibri.
Sawa lakini hakuna uhusiano na dini.Ebo achakudanganya watu.
 
Majanga haya yangewapata Baadhi ya Nchi flani hapa Duniani ndo Ingekuwa Trend Kila Kona ya Dunia ila Inapiga huko huko Upande Wa Pili
... sipati picha ingekuwa ni Tel Aviv imekuwa wiped out kama mji huo wa Libya au kule Morocco au kule Uturuki! Majanga hayana mwenyewe; ni yetu sote. Hutokea popote pale bila uhusiano na imani ya waathirika.
 
Allah awape nusra watu wa Dernaa na iwe ni sababu
ya kumrudia na kumnusuru na kurudisha Twaa kwake na kuacha kuipiga Vita na kuifanyia
uadui dini yake
nikikumbuka miaka saba,nane iliyopita wakati dawla imeshamiri wilayat barqah ikitoa habari tukiona hisbah wakichoma maboksi kwa maboksi ya mabunda ya sigara wakiwa katika neema ya Rayyat Tawheed chini
ya Dawlat Islamiyyah lakini kwa ukaidi na kiburi
chao wakaipiga
Vita kwa fikra za kimagharibi
leo kwa kupitia gharka hii iwe ni sababu
ya kurudi katika dini na kurudisha derna ile ya masimba
waliokuwa wakimiminika maariqah kama Muhajirun Syria na
Iraq
 
Allah awape nusra watu wa Dernaa na iwe ni sababu
ya kumrudia na kumnusuru na kurudisha Twaa kwake na kuacha kuipiga Vita na kuifanyia
uadui dini yake
nikikumbuka miaka saba,nane iliyopita wakati dawla imeshamiri wilayat barqah ikitoa habari tukiona hisbah wakichoma maboksi kwa maboksi ya mabunda ya sigara wakiwa katika neema ya Rayyat Tawheed chini
ya Dawlat Islamiyyah lakini kwa ukaidi na kiburi
chao wakaipiga
Vita kwa fikra za kimagharibi
leo kwa kupitia gharka hii iwe ni sababu
ya kurudi katika dini na kurudisha derna ile ya masimba
waliokuwa wakimiminika maariqah kama Muhajirun Syria na
Iraq
Mwenyezi Mungu ana hekima kubwa sana.Hili janga litawarudisha walibya kuwa wamoja na wataanza kutambua uzuri wa dini yao.
 
Majanga yanayowakuta watu waliofikiwa na haki wakaikataa huwa ni makali zaidi.Watu zaidi ya elfu kumi kusombwa na maji usiite ni janga la kawaida.Lazima ujiulize.
Kama unaita ni ujinga basi usikae karibu na muislamu anayefanya maasi kwa kibri.
Vipi kuhusu tetemeko la ardhi lililotokea Syria na Uturuki na kuuwa maelfu ya watu?
 
Vipi kuhusu tetemeko la ardhi lililotokea Syria na Uturuki na kuuwa maelfu ya watu?
Unataka kutoa picha kwamba ni vitu vya kawaida. Lakini hali ni hiyo hiyo. Chunga sana yanapotokea matukio kama haya.
 
Back
Top Bottom