Invo-cavity
New Member
- Feb 10, 2012
- 3
- 0
why the gvt clean up the deart money into legal cash to ciculation?
dert money na deart money ndio nini?
Hicho ni kiinglish cha marekani, hujuagi tuuuuuu.
why the gvt clean up the deart money into legal cash to ciculation?
nitajulia wapi wakati role model wangu hujanipeleka inglishi kozi.
Nisamehe,
Sasa chagua sehemu nzuri halafu nipe a/c yao nilipe kabisa ili nifutiwe kashfa hii.
hahahahaha! Nipe mkononi nitaenda lipa mwenyewe. Lol.
Nahofia nikikupa mkononi, utaenda kununulia maua ya Valentino halafu unidai tena !!!!!!!!!!!!
nitanunuaje maua wakati najua utaniletea! Lol.
Kweli ilikuwa nikuletee, sasa unajua tena mambo ya kutafuta hela zilizo safi( dert money hazitakiwi siku ya valentino), bosi wangu jana amenikurupusha safari ya nje ya nchi, nilidhani nitakaa siku moja, kumbe mpaka valentino nitakuwa Moza.
mmmmmmmh! Husninyö nishakimbiwa. Lol. Haya safari njema. Urudi na clean money.
Hela za Moza ni clean kabisa (mifisadi hapa sio mingi),tatizo exchange rate yake ndio mbaya,maduka ya bongo hayapokei. Labda nikibahatisha Rand hapa Kabola basa, naweza kuja nazo, sababu hizi za GUE Bness hazitambi kabisa hapo home.
ooh, hapo kuna matumaini. Ngoja niandae shopping list yangu kabisa. Nifatilie na exchange rate nijue rand ngapi zinanitosha. Lol.
Hela safi zitatuumiza,
Nimepata lift ya kaburu toka hapa Moza, akasema tupitie Victoria falls kisha tupitie Nakonde. Kuingia zambia tumekutana na kimbembe, kumbe Zambia wamebeba kombe gani sijui. Nchi nzima ni mapumziko, halafu kuna hii sikukuu ya Valentino. Kwa hiyo nimenasa hapa Old Nakonde, uhamiaji hawafanyi kazi. Ila kuna maji ya mende ya bure barabara nzima. Unakunywa hapo hapo bila kubeba.