Uchebe ni fala Sana huwa anaifungua Sana timu, ndio maana tulikuwa tunafungwa goli nyingi last quarter final & group stage sitamani hata kumsikiaKwa hatua waliyofikia Simba ni nzuri kwa ajili ya kutengeneza CV ya kocha yeyote.
Kama vipi Simba imrejeshe Uchebe japo tatizo lake alijiharibia alipoondoka alisema baadhi ya viongozi hawana elimu na kuishia kuwakera.
Weka hiyo clip akitamkawapi simba walitamka wanamtaka ibenge? kwani maneno ya washabiki wa simba ndiyo official statement ya club?kwa taarifa yako ibenge analipwa dollar 16,000 as vita simba haiwezi kushindwa kumchukua interview yake ya juzi pale taifa mwenyewe alisema ikipatikana nafasi hatakataa kufundisha simba ila yuko bize na team ya taifa pia anachukua mishahara miwili
Huyu hawawezi kumlipa kabisa,ila wakumbuke cedric kaze salary yake ni 38m per monthNi kocha wa zamani wa team ya taifa ya Uganda na pyramids ya misri anataka dollar 22,000 kwa mwezi Simba walitaka wampe 13,000, bado wanajadiliana.
Kwa hawa utopolo wanaodaiwa na Dante.na Tambwe kweli Eymael hakukoseaHuyu hawawezi kumlipa kabisa,ila wakumbuke cedric kaze salary yake ni 38m per month
Huyu hawawezi kumlipa kabisa,ila wakumbuke cedric kaze salary yake ni 38m per month
kama dollars 11,000 ni sawa na million 38 baasi sawaHuyu hawawezi kumlipa kabisa,ila wakumbuke cedric kaze salary yake ni 38m per month
wanahitaji furaha kaka mkubalie tu hawa watu sana stress sana22m, acha uongo wewe
Na Manara.Timu apewe Morrson
Utopolo fc katika ubora wako!Huyu hawawezi kumlipa kabisa,ila wakumbuke cedric kaze salary yake ni 38m per month
Mo angeweka ile bilion kadhaa tungemsajili ila kwa sasa atuache kidogo.
OooohMo angeweka ile bilion kadhaa tungemsajili ila kwa sasa atuache kidogo.