nkuwi
JF-Expert Member
- Feb 11, 2013
- 4,806
- 5,347
Uchebe ni fala Sana huwa anaifungua Sana timu, ndio maana tulikuwa tunafungwa goli nyingi last quarter final & group stage sitamani hata kumsikiaKwa hatua waliyofikia Simba ni nzuri kwa ajili ya kutengeneza CV ya kocha yeyote.
Kama vipi Simba imrejeshe Uchebe japo tatizo lake alijiharibia alipoondoka alisema baadhi ya viongozi hawana elimu na kuishia kuwakera.