Mdogo wangu nakudadavua..Mi simo ujue
Hahaha....seriously. koh koh
Utadanja kwa upendo wa kutosha ama umemanisha utadanjaje!
Mo11siku nyingine washtakie kwangu wanajua nachowafanyaga
Shemela nishakudadavua huko.nan amenituma
Mianzini-sakina-kwa idd-ngaramtoni.Haha..
Nimekuelewa ujue. Ila wewe jirani yangu tunaelewana lugha.
Sanawari - kijenge. Soweto -ololoo. Njiro- Kisongo. Hakuna umbali ujue. [emoji4][emoji4].
Haha..
Nimekuelewa ujue. Ila wewe jirani yangu tunaelewana lugha.
Sanawari - kijenge. Soweto -ololoo. Njiro- Kisongo. Hakuna umbali ujue. [emoji4][emoji4].
[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
Hivi unanipa hii jeuri halafu niipeleke wapi saa hizi [emoji16][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8] timez buku
Hahahaaaa!Taja na vituo vya kati kati nikurushie bando la airtel... anzia soseji..nenda mbele mpaka bluu
Hivi unanipa hii jeuri halafu niipeleke wapi saa hizi [emoji16]
Damn, did it for a second..Hahahaaaa!
Mianzini mataa
Chuo-ATC /kona ya Nairobi
Darajani
Majengo/kona ya Jr
Kwa idd... [emoji23][emoji23][emoji23]
Hapo muite Clkey au emmyta wamalizie..
Sasa kuna route hii wanayojenga..Damn, did it for a second..
Hahaha...kama unatumia airtel basi nitatimiza ahadi aseeh. Nilijua utajichanganya majengo.
Really! so sweet ujue..
You deserve diamond ring.
Sasa kuna route hii wanayojenga..
Mianzini
Kwa mollel
Tank la maji
Sanawari
Manchester
Mount meru
Philips
Kwa shabani
Kimandolu
Ngulelo
Kwa mrefu..
Hahahaaaaa! Muite birth-mate wangu azarel atamalizia.[emoji23][emoji23][emoji41]