Yaan mkristo mwenzio anakuuliza swali unakimbilia kutukana uislamu??huo ni upuuzi ama kutokujielewa??
Very poor question. When was this calendar started? Why is this year 2010?
Kama wewe ni wale wafuasi wa Allah kiumbe,
Je, Issa bin Mariam aliye ndani ya kolani, na kutokana na Kolani ya Allah wa Isilamu, huyu Issa bin Mariam alizaliwa tarehe gani? Naomba aya kutoka Kolani yenu.
Kama wenzetu wana kumbukumbu za miaka ya kuzaliwa YESU KRISTO, aliyezaliwa miaka 2000 iliyopita lakini sisi hakuna anayejua hata jina la babu yake aliyezaliwa miaka 300 iliyopita, kwa nini tusiwapongeze badala ya kuwadhihaki
Walioko maofisi kwa sasa ambao wanaeekea kustaafu hawajui tarehe zao za kuzaliwa kwa sababu wazazi wao hawakuweka kumbukumbu. Miaka iliyoko kwenye mafaili yao ni ya kuapa mahakamani.
Kwa nini tuanze kuwahoji wenzetu ambao wamestaarabika sana na kusahau uduni wetu.
Nyani haoni kundule.
Tumeletewa Dini na Dini zimetufanya tustaarabike.
Mimi niweza kujua tarehe ya kuzaliwa kutokana na cheti za ubatizo cha mwaka 1955.
Je kama si kubatizwa ni nani angehangaika kuandika mwaka wangu wa kuzaliwa?
"Can you learn to save your soul just by reading the Bible? No...because the Bible does not have everything God taught."ni lini papa ameandika kitu kinaitwa sijui BARUA kwenda kanisa katoliki bugando na ni papa nani huyo aliyeandika kitu kinaitwa BARUA. kwenda kanisa katoliki bugando
na hilo kanisa katoliki bugando linapatikana sayari gani mkuu ?
"usijibebeshe mizigo usioweza kuibeba" - andika unachojua na unachoweza inatosha tutakuelewa.
unazidi kuniangusha mkuu wangu.ni lini papa ameandika kitu kinaitwa sijui BARUA kwenda kanisa katoliki bugando na ni papa nani huyo aliyeandika kitu kinaitwa BARUA. kwenda kanisa katoliki bugando
na hilo kanisa katoliki bugando linapatikana sayari gani mkuu ?
"usijibebeshe mizigo usioweza kuibeba" - andika unachojua na unachoweza inatosha tutakuelewa.
Mkristo mwezio anakuuliza unakwenda kuutukana Uislam, wapi na wapi...!
MARK 4:5 ETI MUNGU AMEBEBWA NA SHETANI , NA KUONYESHWA MJI 😛😛😛
HALAFU SHETANI KAMKALIA NYUMA BILA CHUPI😛😛😛😛
View attachment 960662
Otorong'ong'o
asante kwa kutoa michango na picha zako.
Kanuni kuu ya Wasabato SDA ni Bibilia.
Kazi yao Kubwa ni Kuwaita wote dunia nzima bila kujali ni Muislam, mkatoliki, budha mlokole au msabato mwenzao aliyejisahau
Kujitenga na mifumo Yote ya kiibada potofu kumuelekea Mungu wa Mbinguni aliyeumba Dunia kwa siku sita, na Ya Sabata (definite day) akapumzika, na Kuwaandaa kumpokea masihi huku wakiwa chonjo muda wote ili hata umauti ukiwakuta kabla hajaja walale kwa Busara ili akija kuwaamsha siku ajapo wawe kama wale wanawali watano wenye hekima.
Kuhusu nibada za kikrismasi na easter, hata kama zikifanywa na yoyote mwenye hadhi yoyote kwenye usabato ni Upagani uleule unaopaswa kukemewa mchana kweupe bila kupepesa majicho.
Hata Huyo EGW unayempenda Akikosea anapaswa kutubu vinginevyo na Yeye anatishia motoni. Hakuna mtu aliye juu ya Bibilia katika Usabato.
Kama Mungu alimuua nabii wake aliyekiuka agizo dogo tu la Kula njiani, akaliwa na simba hata ona haya kuteketeza wote watakaopuuzia maagizo yake.
'' Rafiki Zangu ni wale wanaofuata kile ninachokiamuru'' Yesu.
Vingine vyote ulivyoandika havisaidii kama utaendelea kukumbatia sherehe za kipagani kwa mgongo wa Jina la Yesu.
asante kwa maoni mazuri mdada.Unaonekana Usabato umekukolea sana mkaka. Yaani ukiwa mfia dini, huna tofauti na kipofu.
Mletee na ile clip Papa yuko msikitini damascus akiabudu ile shrine yenye fuvu la kichwa cha Yahya ( anayesadikiwa kuwa Yohana mbatizaji).Ndio maana nimem-quote yeye..
Wewe kiherehere cha nini...???
Au unataka nikuletee jinsi falme za Kiarabu zinavyoshetekea siku hii muhimu ya Xmas...?
Ni kosa kwasababu hakuna popote kwenye maandiko juu ya tarehe hiyo hivyo ni uzushi, kuhusu kuzaliwa lini? kama kitu hakija andikwa unapaswa utosheki na hilo, hakuna haja ya kutengeneza tarehe yako ilo jambo la tarehe lingekuwa ni muhimu lingeandikwa lakini kwa vile alijaandikwa hiyo tarehe itabaki kuwa ni yenye kuzushwa(uzushi)kama 25 dec kufungamanishwa na mazazi ya yesu ni kosa kwanini wewe hutaki kutuambia alizaliwa lini mkuu ?
Haya ndio matatizo ya kukurupuka ,tamaduni za WAKRISTO zinapaswa ziendane na kristo sio vinginevyo, sasa wapi alipokufundisha Yesu juu ya tarehe 25/December ? basi kama umekosa ebu tuonyeshe angalau kwa wale wanafunzi wake 12?Subiri Trh 25 Dec uone watu watakavyo Furahi! Hata Christ-mass ni Utamaduni wetu Wakristo [emoji106] [emoji123] nakushangaa wewe unaetaka Andiko ktk mambo ya Utamaduni [emoji15] [emoji12] unawaka nini wakati tunadai Andiko wapi baba fatuuû katahiriwa NYAMA ya govi lake [emoji351] [emoji351] [emoji348] [emoji348] kwani Hujui Andiko linaua [emoji117] View attachment 959955 unatembea lakini Kiroho wewe ni marehemu mashudu [emoji24] [emoji24]
Ufunguo alianza kupewa Petro ebu tuonyeshe wapi alishiriki hilo jambo? ukikosa hapo haya twende kwa wale 11 waliobaki vip Yupo?Andiko Umepewa sisi Wakristo Mungu wetu katupa Ufunguo [emoji123] [emoji106] unacho taka wewe mashudu Biblia Takatifu iandikwe utakavyo wewe [emoji15] [emoji12]
Sijui nihame dini. Naona aibu kweli.
Swali zuri la kujiuliza kwanin wazungu hutenda kinyume na Bible ila Husherehekea Xmass kwa nguvu isiyo ya kawaida??? Wao ndio wamempokea mpinga kristo, ila eti wanaadhimisha kuzaliwa kwa kristo, hapa lazima mwenye Akili utumie Akili,Na tumeshaanza huku majuuView attachment 959812
Mletee na ile clip Papa yuko msikitini damascus akiabudu ile shrine yenye fuvu la kichwa cha Yahya ( anayesadikiwa kuwa Yohana mbatizaji).
Msikiti wa Ommayad ilikuwa mwaka 2001. Mwisho wa siku dini zote unazoziona sitajisalimisha hapo vatican mkuu direct au indirect. Ila haitakuwa jambo jipya maana Bibilia imekwisha kutuonya mbele juu ya matukio yanayoijia duniani hivi punde, na Wasabato na hata watu wa kawaida duniani wanaonya kila kukicha, ndio maana mjadala unapaswa kuwa '' Hivi ndivyo asemavyo Bwana'' vs '' Hivi ndivyo lisemavyo kanisa, papa, au mapokeo yaliyotakatifishwa, sayansi, wataalam flani maarufu, kiongozi flani mwenye hekima''.