Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ningekuwa sijawahi kuwa na gari za chini, nisingeelezea zilivyo. hizo ndio zilikuwa aina ya gari zangu za mwanzo wakati najitafuta. hata hivyo gari ni gari tu kama umeridhika moyoni.kwhy chief, hujawahi kuwa na gari ya chini, huzielewi kabisa
New model unamaanisha ya mwaka gani?ipi? hii new model kaka
Maisha ya kumilik hayo magari hatuna tunawashangaa tukwann mkuu
Mbona gari ya zamani sana
chuma kali sana, ila naona soko la Tanzania limeshuka sana kwa hizi gari ndo maana tezza namba E zipo chache..wabongo wamehamia kwenye mazda cx5, Subaru Forester, crown athlete n.kView attachment 3250366
Gari inadisiwa TZ,america inauzwa zaidi ya milioni 35 Tzs,wabongo ujuaji mwingi,ingia be forwad angalia bei ya altezza ya 1999 na crown ya 2005
Ni kweli mkuu,wabongo wengi wananunua gari ili baadae aiuze,shida inaanzia hapo maana kuagiza altezza bei ni sawa crown altezza ambayo kwenye resale kibongo bongo aifanyi vizuri,ndio maana unakuta watu wananunua altezza za mkononi halafu wanazipimp,kwenye body mjapan pale kwenue altezza alituliza akili mnochuma kali sana, ila naona soko la Tanzania limeshuka sana kwa hizi gari ndo maana tezza namba E zipo chache..wabongo wamehamia kwenye mazda cx5, Subaru Forester, crown athlete n.k
Ahsante kwa elimu kaka....Hapana. Lexus IS sio mrithi wa Altezza.
Altezza ni sawa na Lexus IS. Altezza ni kwa ajili ya Japanese market na Lexus IS ni kwa ajili ya Europe na America. Hio Altezza maarufu Bongo USA na Europe ni Lexus IS200.250.300 etc. Hata Toyota Harrier Europe na US ni Lexus RX, Au LExus LS Japan ni Toyota Celsior