Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
Insta wameimalizia.. kalipoop kabisa 😁🚮Halafu ananusa vidole,ila kuna wadada wa ajabu na ni mrembo kumbe mchafu.
Hawa ndio wanatuponza tunatukanwa kuwa tunanuka kumbe mtu anakojoa kwenye lift halafu hanawi na anaenda kwa jamaa[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Weeuh kule kujinusu kulikuwa kwingi. Kadem hakatembei hata na tissue/ wipes!!