Kwa yeyote aliyewahi kumiliki hii gari msaada naomba kufahamishwa dondoo muhimu kuihusu hii ndinga maana kwamuonekano kama naielewa sana nanipo mbioni kutafuta usafiri nahii naipigia sana mahesabu.
Maana nimejalibu kuuliza baadhi ya watu direct wengi wao wanasema hawajaijua vizuri.
Maana nimejalibu kuuliza baadhi ya watu direct wengi wao wanasema hawajaijua vizuri.