Detention

Detention

tanga kwetu

JF-Expert Member
Joined
May 12, 2010
Posts
2,193
Reaction score
1,437
Naomba wajuzi wa sheria mnisaidie kwa hili. Je, ni katika mazingira yapi au kwa sababu zipi Polisi wanaweza kumuweka mtu korokoroni (Lock up)? Mfano, Nikienda Polisi kushtaki kwamba Mr. X kanitukana tukiwa waiwili tu then nakamatwa nakuwekwa ndani bila ushahidi, hapo imekaaje?

Asanteni!!
 
Back
Top Bottom