Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 13,417
- 23,310
Rejea headline ya Raia Mwema ya tarehe 24 August, 2022. Deus Kakoko alikuwa "Untouchable" kipindi cha Magufuli kutokana na kuwa msiri wake tangu akiwa Regional Manager wa TANROADS enzi za awamu ya 4.
Wakati wa Mwendazake hata PM Majaliwa amewahi kugonga mwamba kwa hiki kisiki.
Soma na hizi threads nyingine hapa;
www.jamiiforums.com
www.jamiiforums.com
Wakati wa Mwendazake hata PM Majaliwa amewahi kugonga mwamba kwa hiki kisiki.
Soma na hizi threads nyingine hapa;
TAKUKURU mnatumika vibaya ipo siku ukweli utajulikana. Mlitumiwa na wanasiasa wa CCM 'kum-harass' Deusdeth Kakoko ili mhalalishe mradi wa kifisadi
We mbwa koko tokea lini ulipata akili timamu Yani wewe utakufa tuu siku si nyingi na mimi nasema ufe maana hakuna namna. Sonona imekujaa mpaka inamwagika.
TANROADS na kashfa ya kufanya kazi zisizo zao
Kwa kufuata utaratibu au kibabe babe tu?? Any of the two. Kwani mnadhani mama yeye atawabembeleza kwa kila jambo hadi 2030?