Deus Kakoko afikishwa TAKUKURU. Alikuwa "Untouchable" kwenye Utawala wa Jiwe

Deus Kakoko afikishwa TAKUKURU. Alikuwa "Untouchable" kwenye Utawala wa Jiwe

Stuxnet

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2011
Posts
13,417
Reaction score
23,310
Rejea headline ya Raia Mwema ya tarehe 24 August, 2022. Deus Kakoko alikuwa "Untouchable" kipindi cha Magufuli kutokana na kuwa msiri wake tangu akiwa Regional Manager wa TANROADS enzi za awamu ya 4.
Screenshot_20220824-123829.png

Wakati wa Mwendazake hata PM Majaliwa amewahi kugonga mwamba kwa hiki kisiki.

Soma na hizi threads nyingine hapa;


 
TAKUKURU hizi kesi zenu za kisiasa mama yenu aliambiwa na KAMATI KUU YA CCM zifutwe. Sasa sijui huyu mama ni mkorofi au TAKUKURU ndio wakorofi. Kubishana na kamati kuu
Kumbe ndio umejua leo kama no za kisiasa?
 
Rejea headline ya Raia Mwema ya tarehe 24 August, 2022. Deus Kakoko alikuwa "Untouchable" kipindi cha Magufuli kutokana na kuwa msiri wake tangu akiwa Regional Manager wa TANROADS enzi za awamu ya 4.
View attachment 2333392
Wakati wa Mwendazake hata PM Majaliwa amewahi kugonga mwamba kwa hiki kisiki.

Soma na hizi threads nyingine hapa;


Hawa ndio wamesababisha nchi imetumbukia kwenye umaskini wakati tuna Bandari kubwa.
 
Mwanzoni alipokaguliwa na kuachiwa arudi nyumbani tulidhani TAKUKURU haijamkuta na ushahidi unaoweza kumtia kwenye hatia.
 
Rejea headline ya Raia Mwema ya tarehe 24 August, 2022. Deus Kakoko alikuwa "Untouchable" kipindi cha Magufuli kutokana na kuwa msiri wake tangu akiwa Regional Manager wa TANROADS enzi za awamu ya 4.
View attachment 2333392
Wakati wa Mwendazake hata PM Majaliwa amewahi kugonga mwamba kwa hiki kisiki.

Soma na hizi threads nyingine hapa;


Harafu wanasema Mwendazake alikuwa muadilifu 😆😆..

Stay tuned wanakuja wengine.
 
Rejea headline ya Raia Mwema ya tarehe 24 August, 2022. Deus Kakoko alikuwa "Untouchable" kipindi cha Magufuli kutokana na kuwa msiri wake tangu akiwa Regional Manager wa TANROADS enzi za awamu ya 4.
View attachment 2333392
Wakati wa Mwendazake hata PM Majaliwa amewahi kugonga mwamba kwa hiki kisiki.

Soma na hizi threads nyingine hapa;


Fisadi huyo afungwe maisha,japo sukuma gang watamtetea mwenzao
 
Back
Top Bottom