LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 18,037
- 33,681
Ni kiongozi gani wa Yanga alie idhinisha kuuzwa kwa Deus Kaseke Singida United.How comes unamuuza mchezaji mwenye uwezo na msaada mkubwa katika timu kama Deus Kaseke ? Viongozi wa Yanga kama mnapitiaga JF tafadhali fanyeni mpango Deus Kaseke arudi Yanga msimu ujao