mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,981
- 35,581
Kwa iyo ndo ushahidi wako kuwa amelipwa?
Lolote linawezekana ila kubwa zaidi ni kwamba hafai kabisaaa hata kuendelea na hiyo nafasi aliyonayo. Ni utopolo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa iyo ndo ushahidi wako kuwa amelipwa?
Umekariri Shikamoo ambayo ni salamu ya kitwana.
Acha ramli! achavwatu waongeeLolote linawezekana ila kubwa zaidi ni kwamba hafai kabisaaa hata kuendelea na hiyo nafasi aliyonayo. Ni utopolo
[emoji848][emoji849]Ukweli ndio huo ! Wamasai wengi hawaziki na wanaogopa sana maiti na mgonjwa mtu akifa au kuumwa sana wanakimbia boma kabisa!
Watafute wamasai wanaoacha maiti aliwe na wanyama atakuambia ni sawa.kwa iyo unaona sawa watu kuacha maiti iliwe na wanyama?
Yawezekana wewe ndo Balile mwenyewe, huo ni utamaduni siyo sheria. Huwezi tiwa hatiani na mahakama kwa kutomwamkia mzazi wako au mtu yeyote. Ni utamaduni lazima uheshimiwe.Kuna sheria inayosema ukiamka muamkie au msalimie mzazi wake? kwa nini unamsalimia mzazi wako?
Acha ramli! achavwatu waongee
Hivi Tanzania hii kuna Mwandishi nguli Kwa Sasa? Labda kwenye Mambo mepesi mepesi kama vigodoro na singeli. Lakini hata soka tu haina Mwandishi nguli ni mwendo wa ubabaiahaji tu.Hebu fikiria halafu tukisema waandishi wengi wa habari mabwege wanabisha halafu utaisikia wanaitana mwaadishi nguli Balile!!!!!
Kabisa waandishi hawajui hilo
Zamani watu walikuwa wakitupa maiti porini na kuhama hilo eneo sio rahisi MTU yeyote kuonyesha mfano kaburi LA babu wa babu wa babu wa babu wa babu huwezi jua hata liko wapiNdiyo. Njoo Ruvuma hapa nikuoneshe
Hahhaha.. Bavicha una nena kwa lugha?Tuna waandishi wa habari wa hovyohovyo sana nchini mwetu...mtu kma balile,kitenge,msiba ni watu wenye upungufu wa akili wanamiliki vyeti ya DSJ chuo cha mtaani,unategemea waandike habari yenye manufaa,kitenge ni mjivuni mpka akienda kujisaidia anapiga picha
Kwani bado kuna vikaki?Yani hao vibushuti bahasha za kaki ndiyo ziwafanye waende kupangia watu namna ya kufanya maziko?
Unawashwa kinyeo weweKwani bado kuna vikaki?
Si aliondoka navyo dhalimu wako na mama anaupiga mwingi?
Umepanic tayariUnawashwa kinyeo wewe
hii inafanyika ngorongoro tu au hata wakiwa sehemu nyingine tuanzie hapo, mbona wahindi wanachoma miili ya marehemu?Ukweli ndio huo ! Wamasai wengi hawaziki na wanaogopa sana maiti na mgonjwa mtu akifa au kuumwa sana wanakimbia boma kabisa!
Hivi , ebu nikumbushe, Kazi ya Tony Blair tuliyompa ni ipi vile.Kuna hotel zinataka kujengwa pale ! Wamasai watachafulia hadi waone tanzania siyo nchi yao ! Duuh hii nchi ngumu sana! Tayari wanahabari walichapewa cha kwao mapema.
jamaa umetoa hoja ya upumbavu sana, acha kugeneralise kuna makabila mzazi akiamka anakwenda kumjulia hali mtoto.Kuna sheria inayosema ukiamka muamkie au msalimie mzazi wake? kwa nini unamsalimia mzazi wako
Inabidi waondoshwe mule, wawapishe wanyama kwa maslahi mapana ya Taifa.Kuna nini nyuma ya Ngorongoro saga?
Kwa nini unataka wamasai wazike? Ni lazima kuzika?Nilitegemea ungejibu wamasai wanazika wapi ili kuivunja zaidi hoja ya huyo jamaa ila badala yake umeuliza maswali mengi mkuu hadi kuhusisha na wajaruo.
Uzi ungependeza kama ungepunguza maswali