Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Uhuru,haki na maendeleo ya kweli.Ana sera zipi?
Haaa😁😂Anakusanya watu kuliko Makamu WA Rais na waziri mkuu.
Anakusanya watu kuliko Makamu WA Rais na waziri mkuu.
Uhuru Haki na ma3ndeleo y watu Msingi wake katiba ya wananchiAna sera zipi?
Karibu sanaTumeshakuzoea!!
Jamii ya kitumwa huwaza utumwa siku zote , Who is Abood by the way ? kuwapa magari ya kuzikia ndugu zenu waliokufa kwa umasikini ndio tija ?Mnaota kweli chadomo ! Yaani Minja amtoe Abood Moro! .kweli akili zenu ndo zilipoishia!.
Huo ndo ukwel mchungu! Devotha hana uwezo wa kumtoa Abood Moro! Msifurahishane humu!Jamii ya kitumwa huwaza utumwa siku zote , Who is Abood by the way ? kuwapa magari ya kuzikia ndugu zenu waliokufa kwa umasikini ndio tija ?
Tija ni nini?Jamii ya kitumwa huwaza utumwa siku zote , Who is Abood by the way ? kuwapa magari ya kuzikia ndugu zenu waliokufa kwa umasikini ndio tija ?