Shambaboy jogoli
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 1,223
- 1,627
Hivi bado unawasikiliza chandimu!? Wasahajifia kitambo hawajui wanataka nini!Huyu mama wa Morogoro katika moja ya kampeni zake kasema CHADEMA ikiingia madarakani watayauza mabasi ya watu, sikuelewa mantiki ya kuyauza haya mabasi, wakati Lissu akijinadi CHADEMA ikiingia madarakani italinda na kuheshimu biashara za watu
Huyu mama wa zepipo anasema atapiga mnada biashara za watu sasa tuchague lipi? La Devotha au la Lissu?
Kama tumeanza kukamiana mapema hivi ikifika jioni itakuwaje?
Twambie alichosema mkuu- tulinganishe ili tujue muongo ni nani kati yenuAcha kupotosha. Devota hajasema hicho unachotaka kuwapotosha watu.
Atakuwa pandikizi huyuu...Huyu mama wa Morogoro katika moja ya kampeni zake kasema CHADEMA ikiingia madarakani watayauza mabasi ya watu, sikuelewa mantiki ya kuyauza haya mabasi, wakati Lissu akijinadi CHADEMA ikiingia madarakani italinda na kuheshimu biashara za watu
Huyu mama wa zepipo anasema atapiga mnada biashara za watu sasa tuchague lipi? La Devotha au la Lissu?
Kama tumeanza kukamiana mapema hivi ikifika jioni itakuwaje?
Tusitishane....this year US Congress has made it very clear that they are following this election very keenly and due diligence has to be adhered as long there is compliance to the electoral election law to the letter that the winner should be declared fairly, transparently and less than that the consequences would be brutal....ICC...Huyu mama wa Morogoro katika moja ya kampeni zake kasema CHADEMA ikiingia madarakani watayauza mabasi ya watu, sikuelewa mantiki ya kuyauza haya mabasi, wakati Lissu akijinadi CHADEMA ikiingia madarakani italinda na kuheshimu biashara za watu
Huyu mama wa zepipo anasema atapiga mnada biashara za watu sasa tuchague lipi? La Devotha au la Lissu?
Kama tumeanza kukamiana mapema hivi ikifika jioni itakuwaje?
Yani MaCCM nikama wana wagombea wawili wa uraisi kwenye chama chaoHuyu mama wa Morogoro katika moja ya kampeni zake kasema CHADEMA ikiingia madarakani watayauza mabasi ya watu, sikuelewa mantiki ya kuyauza haya mabasi, wakati Lissu akijinadi CHADEMA ikiingia madarakani italinda na kuheshimu biashara za watu
Huyu mama wa zepipo anasema atapiga mnada biashara za watu sasa tuchague lipi? La Devotha au la Lissu?
Kama tumeanza kukamiana mapema hivi ikifika jioni itakuwaje?
Leta ukweli kasema nini...!Acha kupotosha. Devota hajasema hicho unachotaka kuwapotosha watu.
😃😃..kwani wewe una mabasi?
..kama huna mabasi dont worry.
Alisemaje?Acha kupotosha. Devota hajasema hicho unachotaka kuwapotosha watu.
Kama ni Mali za kijambazi unauza tu
Yatakuwa mabasi ya CCM. Hayo no lazima yapigwe mnada maana no Mali ya umma.Duh. Kataja mabasi ya nani man?
Labda ya Abood!Duh. Kataja mabasi ya nani man?
Labda ya Abood!
Utakuwa Dereva wa Aboud wewe...pooole. Ila ungejiuliza swali jepesi kwanini Boss wako alihonga zaidi ya Mil.200 kwa wasimamiz wa uchaguzi ili jina la Devother lisirudi...Huyu mama wa Morogoro katika moja ya kampeni zake kasema CHADEMA ikiingia madarakani watayauza mabasi ya watu, sikuelewa mantiki ya kuyauza haya mabasi, wakati Lissu akijinadi CHADEMA ikiingia madarakani italinda na kuheshimu biashara za watu
Huyu mama wa zepipo anasema atapiga mnada biashara za watu sasa tuchague lipi? La Devotha au la Lissu?
Kama tumeanza kukamiana mapema hivi ikifika jioni itakuwaje?
Hueleweki,umetoka usingizini?Huyu mama wa Morogoro katika moja ya kampeni zake kasema CHADEMA ikiingia madarakani watayauza mabasi ya watu, sikuelewa mantiki ya kuyauza haya mabasi, wakati Lissu akijinadi CHADEMA ikiingia madarakani italinda na kuheshimu biashara za watu
Huyu mama wa zepipo anasema atapiga mnada biashara za watu sasa tuchague lipi? La Devotha au la Lissu?
Kama tumeanza kukamiana mapema hivi ikifika jioni itakuwaje?
kusoma unajua??Duh. Kataja mabasi ya nani man?
kusoma unajua??Duh. Kataja mabasi ya nani man?
kusoma unajua??