Uchaguzi 2020 Devotha Minja chunga mdomo utakuponza

Uchaguzi 2020 Devotha Minja chunga mdomo utakuponza

Huyu mama wa Morogoro katika moja ya kampeni zake kasema CHADEMA ikiingia madarakani watayauza mabasi ya watu, sikuelewa mantiki ya kuyauza haya mabasi, wakati Lissu akijinadi CHADEMA ikiingia madarakani italinda na kuheshimu biashara za watu

Huyu mama wa zepipo anasema atapiga mnada biashara za watu sasa tuchague lipi? La Devotha au la Lissu?

Kama tumeanza kukamiana mapema hivi ikifika jioni itakuwaje?
Hivi bado unawasikiliza chandimu!? Wasahajifia kitambo hawajui wanataka nini!
 
Huyu mama wa Morogoro katika moja ya kampeni zake kasema CHADEMA ikiingia madarakani watayauza mabasi ya watu, sikuelewa mantiki ya kuyauza haya mabasi, wakati Lissu akijinadi CHADEMA ikiingia madarakani italinda na kuheshimu biashara za watu

Huyu mama wa zepipo anasema atapiga mnada biashara za watu sasa tuchague lipi? La Devotha au la Lissu?

Kama tumeanza kukamiana mapema hivi ikifika jioni itakuwaje?
Atakuwa pandikizi huyuu...
 
Huyu mama wa Morogoro katika moja ya kampeni zake kasema CHADEMA ikiingia madarakani watayauza mabasi ya watu, sikuelewa mantiki ya kuyauza haya mabasi, wakati Lissu akijinadi CHADEMA ikiingia madarakani italinda na kuheshimu biashara za watu

Huyu mama wa zepipo anasema atapiga mnada biashara za watu sasa tuchague lipi? La Devotha au la Lissu?

Kama tumeanza kukamiana mapema hivi ikifika jioni itakuwaje?
Tusitishane....this year US Congress has made it very clear that they are following this election very keenly and due diligence has to be adhered as long there is compliance to the electoral election law to the letter that the winner should be declared fairly, transparently and less than that the consequences would be brutal....ICC...
Tutaelewana tuuu mwaka huuu...
 
Huyu mama wa Morogoro katika moja ya kampeni zake kasema CHADEMA ikiingia madarakani watayauza mabasi ya watu, sikuelewa mantiki ya kuyauza haya mabasi, wakati Lissu akijinadi CHADEMA ikiingia madarakani italinda na kuheshimu biashara za watu

Huyu mama wa zepipo anasema atapiga mnada biashara za watu sasa tuchague lipi? La Devotha au la Lissu?

Kama tumeanza kukamiana mapema hivi ikifika jioni itakuwaje?
Yani MaCCM nikama wana wagombea wawili wa uraisi kwenye chama chao

Kuna mmoja ana sema maendeleo hayana chama kuwa yeye ni raisi wa woote! na kuna mwingine anasema mkichagua upinzani sahauni, maendeleo hatuleti kama vile MaCCM pekee yao ndio yana lipa kodi.
 
Huyu mama wa Morogoro katika moja ya kampeni zake kasema CHADEMA ikiingia madarakani watayauza mabasi ya watu, sikuelewa mantiki ya kuyauza haya mabasi, wakati Lissu akijinadi CHADEMA ikiingia madarakani italinda na kuheshimu biashara za watu

Huyu mama wa zepipo anasema atapiga mnada biashara za watu sasa tuchague lipi? La Devotha au la Lissu?

Kama tumeanza kukamiana mapema hivi ikifika jioni itakuwaje?
Utakuwa Dereva wa Aboud wewe...pooole. Ila ungejiuliza swali jepesi kwanini Boss wako alihonga zaidi ya Mil.200 kwa wasimamiz wa uchaguzi ili jina la Devother lisirudi...
 
Mle
Huyu mama wa Morogoro katika moja ya kampeni zake kasema CHADEMA ikiingia madarakani watayauza mabasi ya watu, sikuelewa mantiki ya kuyauza haya mabasi, wakati Lissu akijinadi CHADEMA ikiingia madarakani italinda na kuheshimu biashara za watu

Huyu mama wa zepipo anasema atapiga mnada biashara za watu sasa tuchague lipi? La Devotha au la Lissu?

Kama tumeanza kukamiana mapema hivi ikifika jioni itakuwaje?
Hueleweki,umetoka usingizini?
 
Back
Top Bottom