Uchaguzi 2020 Devotha Minja chunga mdomo utakuponza

Uchaguzi 2020 Devotha Minja chunga mdomo utakuponza

eddy

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2007
Posts
16,054
Reaction score
11,568
Huyu mama wa Morogoro katika moja ya kampeni zake kasema CHADEMA ikiingia madarakani watayauza mabasi ya watu, sikuelewa mantiki ya kuyauza haya mabasi, wakati Lissu akijinadi CHADEMA ikiingia madarakani italinda na kuheshimu biashara za watu

Huyu mama wa zepipo anasema atapiga mnada biashara za watu sasa tuchague lipi? La Devotha au la Lissu?

Kama tumeanza kukamiana mapema hivi ikifika jioni itakuwaje?
 
Duh. Kataja mabasi ya nani man?
 
Ya abudi aliyanunua kwa kuuua viwanda Moro
abudi walikuwa na mabasi tangu mkoloni, babu yake alikuwa fundi gereji na baba yake alikuwa wakala wa Leyland Albion hivyo viwanda vilijengwa tayari akina abood matajiri,
 
Uzuri umesema hujaelewa mantiki, so usituletee mkurupuko. Kaulize update ufafanuzi!
mtu kachuma mali kwa jasho lake wewe unataka kupokonya unaleta umasikini wako kwenye maisha ya watu sio?
 
abudi walikuwa na mabasi tangu mkoloni, babu yake alikuwa fundi gereji na baba yake alikuwa wakala wa Leyland Albion hivyo viwanda vilijengwa tayari akina abood matajiri,
Unaweza kuwa tajiri kwa kuwa fundi gereji?

Hivi haya mahaba na wahindi mnayatowa wapi? Unadhani kuna muhindi ana mapenzi na mswahili?

Ujinga huu.
 
Unaweza kuwa tajiri kwa kuwa fundi gereji?

Hivi haya mahaba na wahindi mnayatowa wapi? Unadhani kuna muhindi ana mapenzi na mswahili?

Ujinga huu.
yeye mbona ni mchagga na waluguru wamemkaribisha, nani asiyejua wachagga ni wezi?
 
Huyu mama wa Morogoro katika moja ya kampeni zake kasema CHADEMA ikiingia madarakani watayauza mabasi ya watu, sikuelewa mantiki ya kuyauza haya mabasi, wakati Lissu akijinadi CHADEMA ikiingia madarakani italinda na kuheshimu biashara za watu

Huyu mama wa zepipo anasema atapiga mnada biashara za watu sasa tuchague lipi? La Devotha au la Lissu?

Kama tumeanza kukamiana mapema hivi ikifika jioni itakuwaje?
If that is the case she needs some retooling
 
Back
Top Bottom