Tatizo sio kilomoni,tatizo ni wana simba wenyewe.
Mtu kama kilomoni ambae hata umkabidhi amnunulie chai kagere hawezi anadiriki kuivuruga simba na Bado anapewa airtime?
Mtu mjinga kabisa...na wazee wenzake ambao hata kujinunulia shati hawawezi eti wanaopigania simba?
Pumbavu sana.
Na bado eti serikali kupitia waziri na bmt wanawakingia kifua hawa watu!
Huyu waziri Yaani nimempunguza credit sana kwa kauli zake.
Kama wana huruma kwa nini wasiisaidie Yanga kupata wawekezaji?
Waziri ana wivu binafsi na maendeleo ya simba.
Wawekezaji watatu wa kaliba ya mo waje wote kuwekeza simba wanakutana wapi na wakiwa wamekosa nini cha kufanya?
Simba ndo inamhitaji zaidi mo kuliko mo anavyohitaji simba.
Maamuzi ya waziri na bmt yanastaajabisha sana.
Afadhali Rais awatazame kama wanatosha kuendesha hii wizara maana hawapo kwa ajili ya kuendeleza mpira bali kuzalisha majungu na fitna.