Dextrocardia (Moyo kukaa upande wa kulia)

bryan2

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2016
Posts
3,323
Reaction score
4,679
Kitaalamu/Anatomically moyo wa mwanadamu unatakiwa uwe upande wa kushoto wa kifua. Dextrocardia ni hali ya moyo wa mwanadamu kuwa upande wa kulia wa kifua.

Ndio maana inashauriwa baada ya mama kujifungua, madaktari kupima kifua cha mtoto aliyezaliwa ili kujua moyo upo upande gani kwa kutumia #Stesthescope japo ni rare sana kupata watu wenye hilo tatizo.
 
Kitaalam bado moyo haupo exactly kushoto!upo katikati ila umetilt upande wa kushoto kidogo
 
Kwa hiyo umemaliza au utaleta episodes zingine
 
Kwaio moyo kukaa kulia inasbabishwa na nn? Naikitokea hivyo anafanyiwa upasuaji au na nn kifantike ili moyo usikae kulia
mbona elimu unayotaka kutupatia haijakamilika fafanua basi
 
Kwa hiyo tofauti yake na cardiomegally ni nini
Cardiomegally ni hali ya moyo kutanuka/kuwa mkubwa na inaweza sababishwa na magonjwa kama Pressure ya kupanda,upungufu wa damu kwa muda mrefu(anaemia)...nk
 
Kwaio moyo kukaa kulia inasbabishwa na nn? Naikitokea hivyo anafanyiwa upasuaji au na nn kifantike ili moyo usikae kulia
mbona elimu unayotaka kutupatia haijakamilika fafanua basi
Ni #Congenital namaanisha ni hali ya kuzaliwa nayo ni ngumu sana kupata kesi kama izo japo sipo chache sana...
 
Kwaio moyo kukaa kulia inasbabishwa na nn? Naikitokea hivyo anafanyiwa upasuaji au na nn kifantike ili moyo usikae kulia
mbona elimu unayotaka kutupatia haijakamilika fafanua basi
Ni Congenital nikimaanisha ni kitu za kuzaliwa nacho Ndugu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…