DFG Universal Music watoa top 10 ya wasanii Bongo,Kiba ashika namba 5 nyuma kidogo ya Aslay

DFG Universal Music watoa top 10 ya wasanii Bongo,Kiba ashika namba 5 nyuma kidogo ya Aslay

povu kutoka kwa Kiba100 inasemaje?? mana kashindwa hadi na Harmonize
 
yaani kwa vigezo hivo gigy money hayumooooooo.!?? hapana kwa kweli, Shonza njoo fungia hii listi.
 
Kwa wao.wapo sahihi kuna walakini kidogo hapo no 5...
 
Sio kweli. Hao jamaa matokeo yao ni ya hovyo sana, kiba hata aache kuimba muziki atabaki namba 1.
 
Wao wanazani nasisi tuna utaratibu kama wao wa kuuza nyimbo, so the way msanii anavyotoa nyimbo nyingi kwa mwaka ndio anavyoingiza mkwanja mrefu

Huku kwetu ni tofauti msanii kama aslay na nyimbo zake zote alizotoa mwaka jana ni kweli karibia kila mtanzania anazo ila hajazinunua ni kudowload tu bure

Japokuwa hayo ni mawazo yao kutoka kwenye vyanzo vyao inabidi tuyaheshimu although kila mtu akipewa nafasi aandae list yake itakuwa tofauti sana na hii list kwakuwa tz kumkadilia msanii kipato ni kazi sana kutokana na mfumo wetu, wasanii wetu wanajipatia sana kipato kwenye show kuliko kwingine, many shows you get, more money you make
 
Sio kweli King kiba ni Namba Moja sema hapendi kujionyesha na kununua list za wanigeria
 
Back
Top Bottom