Steven Sambali
JF-Expert Member
- Jul 31, 2008
- 364
- 182
- Thread starter
-
- #21
Mkuu ngoja niwasiliane na wafanyabiashara wa mawese kigoma tuone kama wanaweza kupata hizo tone za wese kwa mwezi,je commision yangu ni % ngapi tukifanikisha hyo dili?
Mkuu SSAMBALI Nimekutumia email, lakini sijapokea majibu kutoka kwako.
Mkuu Godfrey,
Tuwasiliane basi maana naona kimya.
Jamaa wamesema kwa kuanzia inaweza kuwa hata 10kg. Kuna uwezekano wa kuwekeana mkataba kwa kusply tuseme kwa mwaka mmoja hadi mwili. Hivyo mwenye nguvu yake achangamkie huu ulaji.
Mgombezi, sijui umetuma kwa jina gani.
Hebu angalia tena email yangu kama umeipatia maana hadi sasa nimejibu EMAIL zote ambazo nimeshazipata.
Kila ujumbe najitahidi kuujibu kutokana na habari ambayo hadi sasa ninayo.
Kuna ujumbe niliujibu leo asubuhi, kama ni wewe basi nafikiri umeshaupata. Jumamosi njema.
samahani kwa ukimya. ngoja niwasiliane na jamaa kama watasema wanaweza kusupply nitakuunganisha nao moja kwa moja.
Sawa Mkuu nakusubiria.
Kwa sasa inaonekana kuwa Dhahabu itaweza kununulika kirahisi kwa sababu ina soko tayari na mnunuzi ni mtu binafsi ila Mawese kidogo yatachelewa kwa sababu jamaa inabidi wajipange tayari kuupokea mzigo mara ukifika hapa Poland.
Ngoja tusubiri tuone nini kitatokea.
Wana JF,
Kuna kampuni hapa Poland wameomba niwaulizie upatikanaji wa bidhaa hizi, yaani Dhahabu na Mafuta ya mawese.
Sijui kama mpango utafanikiwa ila kama kutatokea maelewano basi kuna biashara kubwa inaweza kufanyika kati yao na Muuzaji huko Tanzania.
Jamaa wanataka mtu au kampuni itakayoweza ku-suply 100kg ya dhahabu kwa mwezi na tani 12 za mafuta ya mawese kwa mwezi.
Kama unamfahamu mtu au wewe mwenyewe ni mfanya biashara hiyo basi wasiliana nami kwa maelezo zaidi kwa kuni-PM hapa JF au kwa kutumia email yangu ya SSAMBALI@HOTMAIL.COM.
Simu yangu ni +48-503535735.
ANGALIZO: Jamaa watafanya biashara na mtu mwenye kampuni tu na kila kitu lazima kiwe kihalali. Wanafahamu sana jinsi watu wanavyolizwa hapo Tanzania kufanya biashara na watu wenye kampuni za mfukoni. Makubaliano yakifanyika basi pesa zote zitapitia BANK tu.
Wana JF,
Kuna kampuni hapa Poland wameomba niwaulizie upatikanaji wa bidhaa hizi, yaani Dhahabu na Mafuta ya mawese.
Sijui kama mpango utafanikiwa ila kama kutatokea maelewano basi kuna biashara kubwa inaweza kufanyika kati yao na Muuzaji huko Tanzania.
Jamaa wanataka mtu au kampuni itakayoweza ku-suply 100kg ya dhahabu kwa mwezi na tani 12 za mafuta ya mawese kwa mwezi.
Kama unamfahamu mtu au wewe mwenyewe ni mfanya biashara hiyo basi wasiliana nami kwa maelezo zaidi kwa kuni-PM hapa JF au kwa kutumia email yangu ya SSAMBALI@HOTMAIL.COM.
Simu yangu ni +48-503535735.
ANGALIZO: Jamaa watafanya biashara na mtu mwenye kampuni tu na kila kitu lazima kiwe kihalali. Wanafahamu sana jinsi watu wanavyolizwa hapo Tanzania kufanya biashara na watu wenye kampuni za mfukoni. Makubaliano yakifanyika basi pesa zote zitapitia BANK tu.
steve mzigo wa dhahabu upo mwingi sana na unauzwa na kampuni,sema wanachukuliaje mzgo,kwa kg,gm,au tola.namansha bei yao
Mkuu kdany,
Nashukuru kwa majibu.
Jamaa nimeandika mapema kabisa kuwa wanataka mtu wa ku-Suply 100 kg kwa mwezi yaani kilo 100 ya dhahabu.
Bei ni muuzaji anasema na wao ndiyo wanaaza KUSHUSHA au kuanza kununua.
Mkishakubaliana nao (siyo mimi mnunuaji) basi mnawekeana mkataba na biashara inaanza.
Kuna uwezekano wa kuwa na deal hata ya mwaka mmoja hadi miwili.
Haya mambo ya Tora sijui grams hapa hayapo. Hapa bei watataka kujua kwa Kilo moja ya dhahabu ni kiasi gani.
Nyani haoni ..........I hope so.... BAK. Maana jamaa zangu kule kigoma wanatandikwa na umaskini utadhani sio Watanzania.
Hi Steve kuweni makini wauzaji wengi wa dhahabu ni wapigaji
mkuu nimekutumia mail na nmejarb kukupigia namba yako iko busy,,,mi nina uhakika wa kusupply mawese hizo tan tatizo kampun sina nambie nifanyeje
mkuu nina interest na hii biashara ngoja nifanye utafiti kama tunaweza kufanya hii biashara