Steven Sambali
JF-Expert Member
- Jul 31, 2008
- 364
- 182
- Thread starter
- #21
Hahahaa, Mkuu wala siwezi kukuambia kwa sasa.
Wewe ongea na hao jamaa na utajilipa hukohuko kwao. Kama kuna tani kibao zinaingia, utapata tu na wewe chenji yako maana wakikukatalia, sisi huku tutawafungia BOMBA, hahahaaa.......
Wanasema usinunue mbeleko wakati hajazaliwa. Tufanye kwanza kazi na hayo mengine yatajileta tu.
Wewe ongea na hao jamaa na utajilipa hukohuko kwao. Kama kuna tani kibao zinaingia, utapata tu na wewe chenji yako maana wakikukatalia, sisi huku tutawafungia BOMBA, hahahaaa.......
Wanasema usinunue mbeleko wakati hajazaliwa. Tufanye kwanza kazi na hayo mengine yatajileta tu.
Mkuu ngoja niwasiliane na wafanyabiashara wa mawese kigoma tuone kama wanaweza kupata hizo tone za wese kwa mwezi,je commision yangu ni % ngapi tukifanikisha hyo dili?