Wadau wa huko msingesema mapema hivi.
Sasa mambo yote yameshaharibika.
Kesho tu hapo mtaona FFU wamejazana na kuwaamuru muondoke hapo maana ninyi ni 'wavamizi' !!
Wataokaidi 'amri halali' ya polisi watazikwa wakiwa hai !!
Baadaye kidogo, wawekezaji (Barick) watatia timu (maana mwenyekiti wa bodi ya Barick ni Mr. Ole Naiko) !
Poleni sana kwa ugunduzi mhuo wa dahabu !!