Dhahabu yaibuka.


Stori za kijiweni bana! wahahahahahaahhhahha!
 
ccm wakisikia watasema hilo eneo ni hifadhi ya taifa hivyo ni marufuku kwa mtu yeyote kuonekana hapo na polisi watanza kulinda kwa nguvu sana hari sana na kasi sana.

Hata hivyo ni eneo la muwekezaji. Kuanzia jana kulikua na FFU wa kutosha na mabomu ya machozi yalitumika kutawanya watu.
 
Nyingine imeibuka eneo la Mwime pembeni kidogo na mji wa Kahama,jirani na Buzwagi,sasa hivi kuna zaidi ya watu elfu tano lakini nasikia dahabu ni nyingi mno.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…