zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,217
Jana limezuka tafrani mtaani kwetu Jamaa (Mr stephano) akimtuhumu mke wake si mwaminifu katika ndoa.Akieleza kinaga ubaga kilichompelekea kuzua taflani hilo ni kwamba Mke tangu amemuoa ni MIAKA 10 Wamejaaliwa kuzaa watoto 3 mmoja wa kike wawili wa kiume lakini cha kushangaza hao watoto wote wanafanana Rafiki zake wa karibu.Hakuna hata mmoja aliefanana nae ina mana yeye analea watoto wa vidume wenzake.
Dhamama ya ndoa
Je ungekuwa wewe ungeamua nini?
Dhamama ya ndoa
Je ungekuwa wewe ungeamua nini?