zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,217
Jana limezuka
tafrani mtaani kwetu Jamaa (Mr stephano) akimtuhumu mke wake si
mwaminifu katika ndoa.Akieleza kinaga ubaga kilichompelekea kuzua
taflani hilo ni kwamba Mke tangu amemuoa ni MIAKA 10 Wamejaaliwa kuzaa
watoto 3 mmoja wa kike wawili wa kiume lakini cha kushangaza hao watoto
wote wanafanana Rafiki zake wa karibu.Hakuna hata mmoja aliefanana nae
ina mana yeye analea watoto wa vidume wenzake.
Dhamama ya ndoa
Je ungekuwa wewe ungeamua nini?
Wivu unamsumbua.