USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 10,904
- 26,184
Makundi hasimu mawili yakichagizwa na ukabila yanapambana mitaani lile linalomuunga mkono Shekhe Hazina na lile linalompinga yanapambana katikati ya jiji lenye watu wengi sana kieneo la Dhaka.
Wahindu na waislam wanapambana kila mmoja akijiona kundi lake ndio linafaa kutawala .
Hili ni somo kwa wabongo siku CCM ikitoka madarakani
USSR
Wahindu na waislam wanapambana kila mmoja akijiona kundi lake ndio linafaa kutawala .
Hili ni somo kwa wabongo siku CCM ikitoka madarakani
USSR