Dhamana huwa inarudi?

Dhamana huwa inarudi?

Rockcity native

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2012
Posts
2,174
Reaction score
1,445
Habari wanajanvi. Ningependa kujua kama dhamana ile ambayo inatolewa mahakaman kwa minajil ya kumwachia mfungwa kwa muda, hv huwa inarudi baada ya kesi kupata hukumu? Au huwa hairudi? Kwa mfano m2 kaambiwa aweke dhamana ya pesa ya mil 1 mwisho wa siku mahakama inarudisha ile pesa?
 
Dhamana huwa inarudi mkuu lengo pale kutaka dhamani kubwa iwe fedha au hati ya nyumba ili mtuhumiwa asiweze kukimbia na wewe mdhamini uwe ndiyo mchungaji mkuu badala ya magereza. Akikimbia tu inakula kwako wewe mdhamini.
 
Dhamana huwa inarudi mkuu lengo pale kutaka dhamani kubwa iwe fedha au hati ya nyumba ili mtuhumiwa asiweze kukimbia na wewe mdhamini uwe ndiyo mchungaji mkuu badala ya magereza. Akikimbia tu inakula kwako wewe mdhamini.

mkuu ila kuna w2 wanasema kwa dhamana ya pesa huwa hairudi eti kwakuwa inakua kama compasation ya mtuhumiwa kuwa uraian badala ya jela.
 
lulu vp bond yake ni how much. naweza mtolea, ila ahamie kwangu ili niwe namu watch asi kimbie
 
Dhamana mara nyingi huwa ni kauli, yaani haiytolewe pesa taslim labda kwenye kesi za uhujumu uchumi au wizi wa fedha. Hivyo una mdhamini mtu let say shs 10million maana yake ni kuwa iwapo mtuhumiwa atakimbia na kutohudhuria mahakama basi mdhamini utatakiwa kwanza kumtafuta mtuhumiwa,asipopatikana basi utatakiwa kulipa lile fungu la dhamana, ukishindwa, una kwanda jela huku jamuhuri ikiendelea kumtafuta mtuhumiwa.
 
Back
Top Bottom