mwanadome
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 4,950
- 5,317
Salaam.
Wataalam wa sheria naombeni ufafanuzi wa kisheria juu ya makosa yenye dhamana, kuwepo sharti la kua na mdhamini ambae ni mfanya kazi wa serikali.
Je Hilo sharti lipo kisheria?,kama lipo ni kwa aina gani. ? ya makosa. ? .
Shurkan.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wataalam wa sheria naombeni ufafanuzi wa kisheria juu ya makosa yenye dhamana, kuwepo sharti la kua na mdhamini ambae ni mfanya kazi wa serikali.
Je Hilo sharti lipo kisheria?,kama lipo ni kwa aina gani. ? ya makosa. ? .
Shurkan.
Sent using Jamii Forums mobile app