Dhambi ambayo hata shetani huikimbia

Dhambi ambayo hata shetani huikimbia

I stand to be corrected mkuu Mshana Jr.Shetani hana chembechembe za UUNGU..alipotupwa duniani,Aliondolewa UTUKUFU wote na ndo maana akaitwa SHETANI
 
I stand to be corrected mkuu Mshana Jr.Shetani hana chembechembe za UUNGU..alipotupwa duniani,Aliondolewa UTUKUFU wote na ndo maana akaitwa SHETANI
Ila kapewa cheo cha ukuu wa anga na mamlaka pia
 
Ila kapewa cheo cha ukuu wa anga na mamlaka pia
Hajapewa,ila Mungu aliamua kumuachia uwezo wote aliokuwa nao before (Isipokuwa utukufu)ili yeye Mungu baba abaki katika SAFE SIDE..kifo cha YESU msalabani kilibadilisha yote...Mamlaka yotee yalihamia kwake,na ndo maana anasema "NIMEPEWA MAMLAKA YOTE MBINGUNI NA DUNIANI"
 
Hajapewa,ila Mungu aliamua kumuachia uwezo wote aliokuwa nao before (Isipokuwa utukufu)ili yeye Mungu baba abaki katika SAFE SIDE..kifo cha YESU msalabani kilibadilisha yote...Mamlaka yotee yalihamia kwake,na ndo maana anasema "NIMEPEWA MAMLAKA YOTE MBINGUNI NA DUNIANI"
Unaikumbuka vema habari ya Ayubu?
Unaikumbuka vema habari ya Kristo akiwa jangwani kwenye mfungo na vile vishawishi vya shetani? Hebu nipe maoni yako hapo
 
Lkn mwishowe lutu akazaa na watoto wake ili uzao wake uendelee maana sehem alyoelekezwa aende alkuwa akiish yy na watt wake wa kike tu. Je huu n mpango wa mungu au wa shetan?
 
Ungeach tu hiyo tabia
Hakuna mada za kipuuzi humu JF za mshana Jr.

Mwanzoni, nilikuwa interested kuzifatilia, kuona kama kuna cha maana cha kujifunza, but I'm sorry, they are typicaly silly topics in all aspects
 
Kwahiyo mke wa lutu aliliwa tigo ndo akageuka jiwe LA chumvi au mm ndo cjaelewa
 
Tunaisoma sayansi ni tofauti na mnavyoamini ushoga ni maumbile kama mtu anavyozaliwa albino ni kilema kile hakupenda Ila hormones ni za kike umbile la kiume
Kwa kutumia hiyo sayansi uliyoisoma ebu nitajie hormone na mechanism yake inayofanya kazi ya kustimulate anus kutumika.! ukikosa jibu basi jitafakari ulidanganywa wapi..
 
Kwa kutumia hiyo sayansi uliyoisoma ebu nitajie hormone na mechanism yake inayofanya kazi ya kustimulate anus kutumika.! ukikosa jibu basi jitafakari ulidanganywa wapi..
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji144][emoji144][emoji109][emoji115][emoji123]
 
Hakuna mada za kipuuzi humu JF za mshana Jr.

Mwanzoni, nilikuwa interested kuzifatilia, kuona kama kuna cha maana cha kujifunza, but I'm sorry, they are typicaly silly topics in all aspects
Pole sana muumini wa kemeo la hii mada.eidha ni muumini wa vitendo au muumini wa maneno tu(yaani unafagilia).

Alichokifanya mkuu mshana ni kuonyesha ubaya wa hilo jambo kwa fikra yakinifu na kifalsafa zaidi jambo ambalo linatufanya sisi ambao hatufagilii michezo hiyo tupate nguvu zaidi ya kuzidi kuwa mbali na michezo hiyo na kuwahamaisha wengine kiroho na kifalsafa zaidi.

Hata nikikaa na wenzangu nikiwapa hii falsafa lazima itawaingia vizuri akilini.

Nashkuru kwa uzi huu mkuu Mshana Jr
 
Kwa kutumia hiyo sayansi uliyoisoma ebu nitajie hormone na mechanism yake inayofanya kazi ya kustimulate anus kutumika.! ukikosa jibu basi jitafakari ulidanganywa wapi..
Ahahahhahahahhhaa umenena vizuri sana mkuu
 
Hakuna mada za kipuuzi humu JF za mshana Jr.

Mwanzoni, nilikuwa interested kuzifatilia, kuona kama kuna cha maana cha kujifunza, but I'm sorry, they are typicaly silly topics in all aspects
sio kweli mshana ni mtu makini sana ,niwe shuhuda kina mambo mwenye maisha amewahi kuwa suluhu langu binafsi,tatizo nilimuona nalo siku za karibuni amekuwa sided kikristo sana ,hafikiri kwa Uhuru kama zamani,pia ameannza kuwa na mipaka ya kuhoji ,lakini ukitoa ya dini huko poa sana
 
Back
Top Bottom