Dhambi gani ambayo mwanadam akifanya hata shetani hushangaa na kumuogopa mtu huyo?

Kauli ya rais kutaka tuishi kama shetani nadhani ndio imemuogopesha kabisa shetani.
 
Shetani ni mjasiriaroho kazi yake ni kuvuta roho za watu kwenda kuzimu hivyo sio kiumbe kizuri kinafaa kukemewa
KWA JINA LA YESU NA DAMU YA YESU ILIOKUJA KUMKOMBOA MWANADAMU
 
Hivi dhambi ya kuiba fedha za wananchi kupitia Escrow na dhambi ya kutokwenda kanisani au msikitini siku moja ipi kubwa?
Zote sawa, hakuna kubwa kuliko nyingine. Yesu alisema, waliwambia msizieni nami nawaambieni kila amtazamae mwanamke na kumtani moyoni mwake amekwisha zini nae.
 
Dhambi ni dhambi, hakuna dhambi kubwa au ndogo kuliko nyingine. Na wala shetani awezi kushangaa na hata weza kushangaa maana ndiye mwanzilishi. Bali hufurahi unapoyenda dhambi maana utakuwa wakati wa kiama.
Mkuu bila shaka ww umewahi kudanganya, Umewahi kuzini, umewahi kutukana je, wakat unafanya yote hayo uliwahi kumwona shetan akiwa anakushawishi ufanye?
Tuache visingizio
 
Kutokufungua mtandao wa JF kwa siku moja tu ni dhambi kubwa sana maana unakosa mambo mengi
 
Rejea kichwa cha habari husika....
mm binafsi watu wa jinsia moja wakifanya mapenzi hadi shetani huogopa na kujificha ......
Tupe wewe dhambi unayoijua....
Huwa anaogopa? Ameshindwa kumuogopa Mungu aliemuumba (vitabu vya dini vinalonga) , sembuse vijidhambi uchwara hivyo...
Kwan huyu jamaa kajificha wapi, hebu tusaidie mkuu
 
Zambi kubwa dunian ambayo hata shetan anashangaa ni ile ya kuamini kuwa jizi lilioiba mabilion ya Pesa na lilikamatwa halafu Leo hii tuamini na tulichague kuwa kiongozi Wa nchi hyo dhambi hata shetan atatucheka tukiitenda
 
Dhambi ni dhambi! Hata hiyo unayosema ya kushangaza yeye ndo kakufundisha, yeye ndo baba wa uongo
 
Kuwachonganisha wananchi kwa Serikali yao, nakuchochea uvunjifu wa amani, angalia Libya, Misri nk.walochochea vurugu wako wapi,waliambulia nini? si huyo shetani naye kawakimbia akiacha wanauana wenyewe.kalaghabaho!!
 
Mkuu bila shaka ww umewahi kudanganya, Umewahi kuzini, umewahi kutukana je, wakat unafanya yote hayo uliwahi kumwona shetan akiwa anakushawishi ufanye?
Tuache visingizio
Kasome.maandiko Mwanzo, njisi shetani alivyomshawishi Hawa na Adamu katika bustani ya edeni. Utapata majibu yote,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…