Dhambi ya handshake haitwaacha salama Kenya

Dhambi ya handshake haitwaacha salama Kenya

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Dhambi kubwa ya kwanza na kuapa mbele za Mungu hutoshirikiana na raila odinga

Wala handshake yoyote

Dhambi ya pili n kutangazia umma wa wakenya huo upuuzi ulifanyika hukoo nyuma hautafanyika tena

Na ukafanyika

Hii mitafaruku hata aje raila dp hawatokaaa salama arudi makanisan walkiopitia kila kanisa waombe sorry kwa wananchi na watubu kwa Mungu kuwadanganya wananchii...

Kwa haya yanayoendelea mtalia mpaka mseme pooo
 
Tatizoo kubwa africa
waliona eti vice president ni weak position , wakaamua kua na powerful deputy president, ona sasa tabu wanayopitia tangu kuanza kutekelezwa kwa katiba yao ya 2010🐒
 
waliona eti vice president ni weak position , wakaamua kua na powerful deputy president, ona sasa tabu wanayopitia tangu kuanza kutekelezwa kwa katiba yao ya 2010🐒
Watashaaa yaan motounawaka
 
Back
Top Bottom