Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,557
- 8,673
Kosa kubwa wanalofanya hao wanaomwaga fedha kununua waandishi ni kusahau ukweli kwamba unaponunua "huduma" bila risiti ni rahisi kwa muuzaji kukukana baadae kwamba hakutambui.Yaani hao mapaparazi wanaweza kula hizo fedha za bure then wakawageuka waliotoa fedha hizo bila hofu yoyote ya kufikishwa kwenye vyombo vya sheria.
Tatizo la pili ni kuzidiana dau.Unamnunua mwandishi kwa milioni moja,kesho ananunuliwa na mtu mwingine kwa milioni 2.Mkizidi kupandishiana dau,huyo mwandishi anageuka kuwa useless kwani badala ya kusaka habari anajikuta yuko busy kusubiri "leo dau limepanda kiasi gani"
Anyway,wajinga ndio waliwao ila piga garagaza mamvi na muirani wake wamekwisha.
By the way,kuna gazeti jipya liitwalo TAIFA TANZANIA linaloongozwa na PRINCE BAGENDA....lilipaswa kutoka Ijumaa ya wiki hii lakini huenda likakwamishwa na kimeo cha moto hapo Co-op Buliding Lumumba ambako ofisi za gezeti hilo zimeteketea.Still unknow,owners ni nani lakini HISTORIA YA BAGENDA ( kama ilivyo kwa BALILE,SALVA RWEYEMAMU na GIDEON SHOO) inaonyesha kuwa ni miongoni mwa wale wanaoweza kuitwa JOURNALISTIC PROSTITUTE;Give them money,and they could easily deliver their parents' heads in mfuko wa rambo.Kwa vyovyote vile atakuwa ameshanunuliwa na mtu flani.
Msimu wa ulaji (election 2010) unawajia kwa kasi.
..taarifa ni mtandao kujeukana ..kila mmoja jk .muvi na muiran..wanajua umaarufu unapatikana kwa kununua waandishi!!!
duru zinasema kuna waandishi wamepewa milioni 40 na upande wa muiran na muvi....wakala,baadaye wakaenda kwa upande wa muungana wakawaambia wamelambishwa 40 wapambe upande wa pili,..napo wakalambishwa maradufu.....sasa nashindwa kuhusisha moja kwa moja kutimka kwa waandishi wa habari na hii sintoelewa..kujua kati ya hao waliokula kote kote ni wepi waliojiuzulu au waliobaki! but picha iko hivyo.......hadi kufikia hapo nachelea kuita yeyote kati ya hao kuwa shujaa@@@!!!!
kinachosikika ni kwamba baadhi ya waandishi wa vyombo vya habari wamehongwa jumla ya ml30 na BWANA MAMVI...na inasemekana HABARI CORP wapo waandishi watano waliokula pesa za MAMVI....TAGALILLE amejiuzuru baada ya kuambiwa akawe mhariri wa THE AFRICAN hivyo kuona kuwa kama wamemshusha cheo na kuwa chini ya BALILE,lakini hiyo ilikuwa ni kumtafutia sababu ya kuondoka HABARI CORP,ilikuwa inaeleweka kuwa TAGALILLE hasingekubali kuwa chini ya BALILE
Navyofahamu,Bagenda alirubuniwa kutoka kundi la waandishi wenye uchungu na nchi na kuingia kwenye Mtandao.Kwa jinsi Mtandao ulivyoparaganyika,ni vigumu kujua "kaolewa" na nani,lakini ni rahisi kuhisi kwamba "bwana yake" atakuwa mtu wa Mtandao pia.Kulikuwa na tetesi za Mamvi kuanzisha chombo cha habari ambacho kingefanya kazi na Habari Corporation kwa namna IPPMEDIA inavyofanya kazi na MEDIA SOLUTIONS (Kulikoni na ThisDay)..
Ni rahisi ku-speculate kwamba Mamvi anataka kugombea urais 2010 kwa njia yoyote ile,ndani au nje ya CCM.Ama kweli ushirika wa wachawi haudumu maana laiti mtu angefikiri haya 2005 angeonekana anaota ndoto za mchana.
kinachosikika ni kwamba baadhi ya waandishi wa vyombo vya habari wamehongwa jumla ya ml30 na BWANA MAMVI...na inasemekana HABARI CORP wapo waandishi watano waliokula pesa za MAMVI....TAGALILLE amejiuzuru baada ya kuambiwa akawe mhariri wa THE AFRICAN hivyo kuona kuwa kama wamemshusha cheo na kuwa chini ya BALILE,lakini hiyo ilikuwa ni kumtafutia sababu ya kuondoka HABARI CORP,ilikuwa inaeleweka kuwa TAGALILLE hasingekubali kuwa chini ya BALI
Mnyoofu, wataje tu tuwape hongera zao please...kama wamefanya jambo la pongezi, why unaficha majina? Unawanyima haki yao ati!
Madilu mkuu wangu,kula tano.Wakiwanunua waandishi wote wa habari sisi akina MADELA WA MADILU tutaanzisha vyombo vyetu vya habari.
Sasa hivii natumia less than 10% ya muda wangu wote kuchangia hapa JF. Hebu fikiria leo hii niamua kutumia 30% ya muda wangu wote kuandika na kutafuta habari kiongozi gani atasimama huko Tanzania?
Je nikiamua kuifanya kazi yangu ya pili je?
Kabla yauchaguzi wa 2010 tutakuwa na INVESTIGATIVE JOURNALIST wengi sana Tanzania, waaandishi ambao mara zote hutoa makala 2 au 3 kwa mwaka kwa sababu hutumia miezi zaidi ya 6 kutafiti na mara utafiti ukikamilika hutumia wiki 2 kuandika makala. Makala za naman hiyo siku zote ni zile zakutikisa na kulegeza vizingiti vyote vya vya watendaji wengi wa serikali.
Kwa asili sisi akina Madela Wa Madilu, si kwamba hatununuliki, la hasha, tunanunulika kwa gharama isiyoweza kumpa faida mnunuzi yeyote.
Lowassa akija taka kununua chombo changu cha Habari bei yake ni poa kabisa, Uhai wake tu. Akikubali nimtoe kafara yeye na mkewe nitakuwa tayari kuandika mazuri kuhusu yeye. Lakini itamsaidia nini wakati kesha yaonja mauti??
Kosa kubwa wanalofanya hao wanaomwaga fedha kununua waandishi ni kusahau ukweli kwamba unaponunua "huduma" bila risiti ni rahisi kwa muuzaji kukukana baadae kwamba hakutambui.Yaani hao mapaparazi wanaweza kula hizo fedha za bure then wakawageuka waliotoa fedha hizo bila hofu yoyote ya kufikishwa kwenye vyombo vya sheria.
Tatizo la pili ni kuzidiana dau.Unamnunua mwandishi kwa milioni moja,kesho ananunuliwa na mtu mwingine kwa milioni 2.Mkizidi kupandishiana dau,huyo mwandishi anageuka kuwa useless kwani badala ya kusaka habari anajikuta yuko busy kusubiri "leo dau limepanda kiasi gani"
Anyway,wajinga ndio waliwao ila piga garagaza mamvi na muirani wake wamekwisha.
By the way,kuna gazeti jipya liitwalo TAIFA TANZANIA linaloongozwa na PRINCE BAGENDA....lilipaswa kutoka Ijumaa ya wiki hii lakini huenda likakwamishwa na kimeo cha moto hapo Co-op Buliding Lumumba ambako ofisi za gezeti hilo zimeteketea.Still unknow,owners ni nani lakini HISTORIA YA BAGENDA ( kama ilivyo kwa BALILE,SALVA RWEYEMAMU na GIDEON SHOO) inaonyesha kuwa ni miongoni mwa wale wanaoweza kuitwa JOURNALISTIC PROSTITUTE;Give them money,and they could easily deliver their parents' heads in mfuko wa rambo.Kwa vyovyote vile atakuwa ameshanunuliwa na mtu flani.
Msimu wa ulaji (election 2010) unawajia kwa kasi.
There you are .Mara ya mwisho nimekutana na Balile hapa Arusha akiwa kanunuliwa laptop mpya na connection toka Vodacom ya kasi anatesa mjini Arusha anakaa hotel kali.Nikamuuliza vipi wewe akasema anatokea Bukoba lakini kasahau kwamba mimi nilikuwa kwenye msafara na tulikuwa sote bila yeye kujua kwa kuwa alikuwa ana hangaika na kupamba mambo ya Lowasa.This young man walifika bei kwake akiwa UK pale Hull University , baada ya kumpata wakataka kuhamia kwa Ngurumo lakini Ngurumo ni kichwa wakashindwa.Membe alimtuma Salva wakamwita Hotelini London akawajibu kwa mkato kwamba ana heshimu maandiko yake na anasimamia anayo yaamini .salva akawa anaendelea kupiga simu kwa Ngurumo lakini akawa hawezi kupeleka Ujumbe .
Wakapanga sasa kumnuanua Mwanakijiji kwa gharama kubwa nako wakaja wakakwama ila bado vyanzo vyangu vinasema wanajaibu bado .Balile was cheap and he is still cheap.
Huyu ndiye Bagenda: http://www.chadema.net/makala/kafulila/david_4.html kama kuna makala nyingine iliwahi kuandikwa ikimueleza Bagenda ni nani- nadhani tungeipata ile ingetupa picha kamili juu ya mtu huyu. Ni kweli kile chombo cha habari kilichounga pale ushirika ni cha Karamagi kwa kumtumia Bagenda
Asha
..ukishanunua waandishi,what next? kununua wananchi au?
.."penye dhiki penyeza rupia"
Eh? Jamani kazi imenizidia labda nimepitwa... katika ile moto ya juzi katika jengo la UShirika kuna chombo cha habari kimeungua? Mhh! Hii kweli hujuma! Lakini kwa vile ni ya mafisadi wacha wanedele kuhujumiana