Aseeee
Sas baada ya kukiri kosa hao wamarekani, wanamipango gani kurejesha hali ya aman katika hizo nchi, Libya na Iraq
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aseeee
Sas baada ya kukiri kosa hao wamarekani, wanamipango gani kurejesha hali ya aman katika hizo nchi, Libya na Iraq
Watu wengi hawapendi kushughulisha bongo zao.. Wengi wanapenda habari nyepesi za kipuuzi. Mwandishi amefanya kazi ya kusoma na kutafsiri anastahili pongezi zakeMada ndefu sana, inachosha kuisoma mpaka mwisho... ..
Mkuu wa TZ wengi tunachangia kwenye ngonoDuh!! Mada muhimu kama izi yana sijui kwa nin tu huwa hazina wachangiaji
GuDume, nikiri kuwa nilikuwa nikiona bandiko lako lako si somi kutokana na mabandiko yako ya huko nyuma yasiyo eleweka wala maana yeyote lkn hapa naona umenishawishiWatu wengi hawapendi kushughulisha bongo zao.. Wengi wanapenda habari nyepesi za kipuuzi. Mwandishi amefanya kazi ya kusoma na kutafsiri anastahili pongezi zake
GuDume, nikiri kuwa nilikuwa nikiona bandiko lako lako si somi kutokana na mabandiko yako ya huko nyuma yasiyo eleweka wala maana yeyote lkn hapa naona umenishawishi