#COVID19 Dhana mbalimbali zilizojengeka katika Jamii kuhusu maambukizi ya Virusi vya Corona

Status
Not open for further replies.
DHANA POTOFU KUHUSU CORONA: Virusi vya Corona havisambai kwenye hali ya hewa ya joto
WATENGENEZAJI WA HUYO KIRUSI PALE MAABARA, HAWAKUFANYA KWA BAHATI MBAYA HUO MPANGO. BALI WALIZIKUSUDIA NCHI ZOTE KISHA WAO WADHURIKE KIDOGO LAKN MAADUI ZAO WAPUPUTIKE. MATOKEO YAKE TUNAPUPUTIKA WENGINE HUKU HATA ELA YA SANITAIZA HATUNAGA!! ACHA TU MJOMBA
 


Utapukutika ww na familia yako..labd uniambie wewe ni muitaliano!
 
Hawajasemea kama corona inaua mtu mweusi au la? Make hiyo nayo inasemwa sana kuwa mtu mweusi na corona ni sawa na mbwa na gono. Kwamba kila mbwa ana gona lakini lakini gono halina madhala kwa mbwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tangu huu ugonjwa umeanza, umesikia mtu mweusi kafariki kwa huu ugonjwa?
 

hawa wenzetu wana haki ya kumaliza CORONA kutoka Wagonjwa 15000 hadi mmoja na leo hakuna
sisi tujifungie tu majumbani maana tunao wa2 wa Arusha ambaye keshapona na mwingine Zanzibar wamekanusha na wasanii wa maigizo wa2 wanaleta utani
 
Don't trust Chinese , wasiliana na watu walioko china
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mbali huko nimewasikia VOA, DW na vyanzo kibao hata Mohamedi Dewji MO





Mohammed Dewji MO

@moodewji


Alhamdulillah China yesterday reported no new local infections for the first time since the corona virus crises began 3 months ago. This is a fantastic milestone. May GOD protect us.
 
Yes this is true sababu Kama kwel virus Hawa wanapatikana mwenye popo basi joto huenda ikawa sum Yao sababu wote tunajua popo hawapend joto na jua ivyo hata viumbe vinavyo ish na popo lazima tabia ifanane
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dhana inaenezwa na watu wakubwa akiwemo Trump! Sijui wao shetia ya mtandao haiwahusu?😄
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…