Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Hahahaha tunaunga juhudi mkono na miguuMkuu hiyo mixer uliyoipanga hapo unaweza ukapitiliza mazima na sababu isiwe Corona.
Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha tunaunga juhudi mkono na miguuMkuu hiyo mixer uliyoipanga hapo unaweza ukapitiliza mazima na sababu isiwe Corona.
Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Baada ya kufuatilia kumbe huu mzigo ni wa kawaida sana tena sana
Ni mafua makali tuu kama unavyopata mafua.
Sent using Jamii Forums mobile app
WATENGENEZAJI WA HUYO KIRUSI PALE MAABARA, HAWAKUFANYA KWA BAHATI MBAYA HUO MPANGO. BALI WALIZIKUSUDIA NCHI ZOTE KISHA WAO WADHURIKE KIDOGO LAKN MAADUI ZAO WAPUPUTIKE. MATOKEO YAKE TUNAPUPUTIKA WENGINE HUKU HATA ELA YA SANITAIZA HATUNAGA!! ACHA TU MJOMBADHANA POTOFU KUHUSU CORONA: Virusi vya Corona havisambai kwenye hali ya hewa ya joto
WATENGENEZAJI WA HUYO KIRUSI PALE MAABARA, HAWAKUFANYA KWA BAHATI MBAYA HUO MPANGO. BALI WALIZIKUSUDIA NCHI ZOTE KISHA WAO WADHURIKE KIDOGO LAKN MAADUI ZAO WAPUPUTIKE. MATOKEO YAKE TUNAPUPUTIKA WENGINE HUKU HATA ELA YA SANITAIZA HATUNAGA!! ACHA TU MJOMBA
Adui muombee yaliyo mema anaweza badilika.Hhahahahahahaja mayoweeee hahahhaa nicheke mimi...Meko ni mzee sema anajifanya janki
Lazima mwezi huu tufike Chato dadek🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🍾🍾🍾🍾🍾🍾
Tangu huu ugonjwa umeanza, umesikia mtu kaambukizwa akiwa hapa nchini? Maana wote wametokana nao nje na kuja nao huku...Kwahiyo sisi wa dar tuliokuwa tunajifariji na hali yetu ya hewa ya joto tumeula wa chuya siyo???
Sent using Jamii Forums mobile app
Tangu huu ugonjwa umeanza, umesikia mtu mweusi kafariki kwa huu ugonjwa?Hawajasemea kama corona inaua mtu mweusi au la? Make hiyo nayo inasemwa sana kuwa mtu mweusi na corona ni sawa na mbwa na gono. Kwamba kila mbwa ana gona lakini lakini gono halina madhala kwa mbwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa mkuu..promo nyingi ndio zinapelekea panic za kipuuzi kweli.Yah mkuu sema promo yake imekua kubwa
Jipakulie mwenyewe. Nyie watz bila mifano hamuukubali ukweliTangu huu ugonjwa umeanza, umesikia mtu mweusi kafariki kwa huu ugonjwa?
Don't trust Chinese , wasiliana na watu walioko china
hawa wenzetu wana haki ya kumaliza CORONA kutoka Wagonjwa 15000 hadi mmoja na leo hakuna
sisi tujifungie tu majumbani maana tunao wa2 wa Arusha ambaye keshapona na mwingine Zanzibar wamekanusha na wasanii wa maigizo wa2 wanaleta utani
View attachment 1393489
Umeshaambiwa alikuwa na kisukari, hata bila hiyo Corona angekufa tuJipakulie mwenyewe. Nyie watz bila mifano hamuukubali ukweliView attachment 1393607
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mbali huko nimewasikia VOA, DW na vyanzo kibao hata Mohamedi Dewji MODon't trust Chinese , wasiliana na watu walioko china
Sent using Jamii Forums mobile app

View attachment 1393106
Virusi vya Corona havisambai kwenye hali ya hewa ya joto
Mnamo Machi 9, 2020 Rais wa Marekani, Donald Trump alinukuliwa akisema kuwa Vurusi vya Maambukizi ya Corona vitakoma mwezi Aprili kwasababu Marekani kutakuwa na joto
Aidha, alinukuliwa akisema joto huua virusi vya maambukizi ya ugonjwa wa Corona.
Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani(WHO), Virusi vya Maambukizi ya Ugonjwa wa Corona vinauwezo wa kusambaa katika hali zote za hewa
WHO wanasema bado hakuna ushahidi kuwa Virusi vya Ugonjwa wa Corona ni vya msimu au hulipuka katika kipindi fulani cha majira ya mwaka
Corona huwaathiri wazee pekee yao
Dhana hii imejengeka miongoni mwa watu wengi kwakuwa kinga yao iko chini ukilinganisha na watu wa makundi mengine
USAHIHI: [emoji1541]
Sio kweli kwamba Virusi vya##COVID19 huwaathiri wazee pekee. Kwa mujibu wa takwimu kutoka vyanzo mbalimbali zinaonesha kuwa #COVID19 waathirika wa #coronavirus ni watu wa rika zote
WHO: Watu wenye Kisukari, matatizo ya Shambulio la Moyo na Pumu wako kwenye hatari zaidi na magonjwa mengine yanayopunguza kinga ya mwili
=======
The World Health Organizaton
At a rally on March 9, US President Trump told his supporters that the coronavirus will go away in April as the weather in the US gets warmer.
Last month, he was also quoted saying that the virus would be gone by April and that "the heat generally speaking kills this kind of virus," referring to the idea that warmer weather will kill the virus and thus help minimize its spread.
Truth: According to the WHO, the coronavirus can be transmitted in all areas of the globe, including hot climates. It won't just go away in the Northern Hemisphere as the weather gets warmer in spring and summer, experts say. We do not yet know if COVID-19 is a seasonal virus like influenza is, meaning it loses the ability to infect cells as the temperature rises.
Covid-19 affects only older people
•While older people are at greater risk owing to weakened immunity, there’s no evidence to show that younger, healthy people cannot be infected. Currently, all demographics are affected by the virus across the world.
The mortality rate, however, is higher among older persons.
• WHO says people with diabetes, asthma and heart diseases are at higher risk of infection.
Mosquito bites can cause infection
•Covid-19 is a respiratory disease that’s chiefly caused by saliva or mucus droplets resulting from a cough or sneeze from an infected person. Mosquitoes cannot transmit the virus.
C|Net
Dhana inaenezwa na watu wakubwa akiwemo Trump! Sijui wao shetia ya mtandao haiwahusu?😄View attachment 1393106
Virusi vya Corona havisambai kwenye hali ya hewa ya joto
Mnamo Machi 9, 2020 Rais wa Marekani, Donald Trump alinukuliwa akisema kuwa Vurusi vya Maambukizi ya Corona vitakoma mwezi Aprili kwasababu Marekani kutakuwa na joto
Aidha, alinukuliwa akisema joto huua virusi vya maambukizi ya ugonjwa wa Corona.
Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani(WHO), Virusi vya Maambukizi ya Ugonjwa wa Corona vinauwezo wa kusambaa katika hali zote za hewa
WHO wanasema bado hakuna ushahidi kuwa Virusi vya Ugonjwa wa Corona ni vya msimu au hulipuka katika kipindi fulani cha majira ya mwaka
Corona huwaathiri wazee pekee yao
Dhana hii imejengeka miongoni mwa watu wengi kwakuwa kinga yao iko chini ukilinganisha na watu wa makundi mengine
USAHIHI: 👇🏿
Sio kweli kwamba Virusi vya##COVID19 huwaathiri wazee pekee. Kwa mujibu wa takwimu kutoka vyanzo mbalimbali zinaonesha kuwa #COVID19 waathirika wa #coronavirus ni watu wa rika zote
WHO: Watu wenye Kisukari, matatizo ya Shambulio la Moyo na Pumu wako kwenye hatari zaidi na magonjwa mengine yanayopunguza kinga ya mwili
=======
The World Health Organizaton
At a rally on March 9, US President Trump told his supporters that the coronavirus will go away in April as the weather in the US gets warmer.
Last month, he was also quoted saying that the virus would be gone by April and that "the heat generally speaking kills this kind of virus," referring to the idea that warmer weather will kill the virus and thus help minimize its spread.
Truth: According to the WHO, the coronavirus can be transmitted in all areas of the globe, including hot climates. It won't just go away in the Northern Hemisphere as the weather gets warmer in spring and summer, experts say. We do not yet know if COVID-19 is a seasonal virus like influenza is, meaning it loses the ability to infect cells as the temperature rises.
Covid-19 affects only older people
•While older people are at greater risk owing to weakened immunity, there’s no evidence to show that younger, healthy people cannot be infected. Currently, all demographics are affected by the virus across the world.
The mortality rate, however, is higher among older persons.
• WHO says people with diabetes, asthma and heart diseases are at higher risk of infection.
Mosquito bites can cause infection
•Covid-19 is a respiratory disease that’s chiefly caused by saliva or mucus droplets resulting from a cough or sneeze from an infected person. Mosquitoes cannot transmit the virus.
C|Net
Viumbe hai wote tutakufa. Pamoja na kuwa na kisukali lakini kilichopelekea kifo chake ni coronaUmeshaambiwa alikuwa na kisukari, hata bila hiyo Corona angekufa tu
Unajuaje si Kisukari?Viumbe hai wote tutakufa. Pamoja na kuwa na kisukali lakini kilichopelekea kifo chake ni corona
Sent using Jamii Forums mobile app