25000q
JF-Expert Member
- Dec 27, 2022
- 4,805
- 3,762
ujinga wake nn? hilo swali lililenga nn?Swali hali kukulenga wewe, mbaya zaidi umeandika sentensi ya kijinga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ujinga wake nn? hilo swali lililenga nn?Swali hali kukulenga wewe, mbaya zaidi umeandika sentensi ya kijinga.
Nimemaliza kazi 😂😂😂🤣Unajicheksha sana hata yesu aliiga kwa yohana
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Vipi mnafungua saa 12 kwa mujibu wa yesu yupiNimemaliza kazi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]
Muhammad alikuwa ni copy paste tu hana Cha maana
Tumemaliza la kuiga ?Vipi mnafungua saa 12 kwa mujibu wa yesu yupi
Ngoja nikusaidie tu najua huna uwezo wa kujibu hili kwa sababu mmeiga kwa waislamTumemaliza la kuiga ?
tofautisha jiwe na sanamu ukitumwa sanamu unaleta jiwe?au lugha inakuchanganya sanamu ni neno la kiarabu kiswahili kinyago cha kuchonga au kufinyanga kwenye udongo kaangalie misalaba ina vinyago kaangalie nje ya makanisa kuna kinyago cha bikira mariyaKuna muislamu alisema wakristo wanaabudu sanamu ,
Nikampa maana ya kuabudu sanamu jiwe la macca na manufaa yake , akatoka nduki
Ukaingia wewe ukavuruga na kukwepesha ile mada
😂🤣😂😂 Nimeshakuonesha master wa kuigaNgoja nikusaidie tu najua huna uwezo wa kujibu hili kwa sababu mmeiga kwa waislam
Nimemaliza
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ndo Aya ?sanamu ni neno la kiarabu kiswahili kinyago cha kuchonga au kufinyanga kwenye udongo kaangalie
Hahahaahaha ona ulivyo ujielewi ona maneno mnayofundishwa kanisani hayo au nawewe unapinga maana ushaanza kua mpingaji sikuhizi[emoji23][emoji1787][emoji23][emoji23] Nimeshakuonesha master wa kuiga
Na saa 12 umetoa wapi ?
Mungu tu ndie anaaamehe dhambi ili jiwe nguvu ya kusamehe dhambi za waislamu limetoa wapi , kitu kinacho kusamehe ndio ibada yenyewehilo jiwe aliabudiwi bali watu uliangalia kwa mshabgao sababu lilitoka mbinguni kama msigi wa wakati huo iburahimu akiega msikiti wa makkah hata nyayo zake zipo pale mbona unaongelea jiwe tu nyayo je?
34:13. Walikuwa wakimfanyia alipendalo, kama mihrabu, na masanamu, na madeste makubwa kama mahodhi, na masufuria makubwa yasiyo ondolewa mahala pake. Enyi watu wa Daudi! Fanyeni kazi kwa kushukuru. Ni wachache katika waja wangu wanao shukuruNdo Aya ?
Koran 34:13. Hao majini wakifanya atakacho Suleiman, kama misikiti kwa ajili ya ibada, na masanamu,....
Unakula mlo mmoja jioni , hakuna daku ni saa ngapi ?Hahahaahaha ona ulivyo ujielewi ona maneno mnayofundishwa kanisani hayo au nawewe unapinga maana ushaanza kua mpingaji sikuhizi
Alafu naona unahahaha kweli yani wakati mmeiga kwa waislam nimemaliza
View attachment 2529329
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ndio muanzilishi ni Allah kwa Suleimani muislamu34:13. Walikuwa wakimfanyia alipendalo, kama mihrabu, na masanamu, na madeste makubwa kama mahodhi, na masufuria makubwa yasiyo ondolewa mahala pake. Enyi watu wa Daudi! Fanyeni kazi kwa kushukuru. Ni wachache katika waja wangu wanao shukuru
Nadhani umepata majibu mwenyewe kua masanam ni nini?
Kama sanam la deacon
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Tulia wewe jiwe hata bibilia inajua utukufu wakeMungu tu ndie anaaamehe dhambi ili jiwe nguvu ya kusamehe dhambi za waislamu limetoa wapi , kitu kinacho kusamehe ndio ibada yenyewe
- Sanamu jiwe unalolisujudi kila siku lisome kazi zake, kALIGUSE jiwe likusamehe dhambi [emoji23][emoji23][emoji23]
- Jiwe jeusi lina fyonza dhambiza waislamu
- Ibn Abbas alisisitiza kwamba: Muhammad alisema: "Jiwe jeusi liliteremka kutoka Peponi, na lilikuwa jeupe zaidi kuliko maziwa, kisha likatiwa weusi na dhambi za watoto wa Adamu. Jami` at-Tirmidhi 877
- Jiwe jeusi kutoa hukumu siku ya mwisho
- Imesimuliwa kwamba Ibn 'Abbaas alisema: Muhammad alisema juu ya Jiwe: "Na Allaah, Allaah Atalileta jiwe hiyo Siku ya Kiyama, na jiwe litakuwa na macho mawili na ambayo yanaona na mdomo ambao utaongea , na jiwe litashuhudia kwa wale walioigusa kwa moyo wa kweli. "Jami` at-Tirmidhi 961
- Jiwe linafuta dhambi likiguswa kwa moyo wa kweli
- Imesimuliwa kutoka kwa Abdullah bin Ubaid bin Umair kwamba: "Ewe Abu abdur-Rahman, kwanini nikuone tu ukigusa hizi pembe mbili?" Alisema: "Muhammad alisema: Kuzigusa zinafuta dhambi." Sunan an-Nasa'i 2919
Hahahhahaha mmeiga kwa waislam imeisha hiyoUnakula mlo mmoja jioni , hakuna daku ni saa ngapi ?
Wapi jiwe linafuta dhambiTulia wewe jiwe hata bibilia inajua utukufu wake
Inamaana hadith umeleta mwenyewe alafu unauliza zimo kweli humoNdio muanzilishi ni Allah kwa Suleimani muislamu
Tena alituma watenda kazi kabisa,
Embu tueleze ni lini alikuja Allah kubadilika na akaleta jiwe
Hahhahaha imepenya unaanza kufananisha sanam na jiwe [emoji12][emoji12][emoji12]Wapi jiwe linafuta dhambi
- Sanamu jiwe unalolisujudi kila siku lisome kazi zake, kALIGUSE jiwe likusamehe dhambi [emoji23][emoji23][emoji23]
- Jiwe jeusi lina fyonza dhambiza waislamu
- Ibn Abbas alisisitiza kwamba: Muhammad alisema: "Jiwe jeusi liliteremka kutoka Peponi, na lilikuwa jeupe zaidi kuliko maziwa, kisha likatiwa weusi na dhambi za watoto wa Adamu. Jami` at-Tirmidhi 877
- Jiwe jeusi kutoa hukumu siku ya mwisho
- Imesimuliwa kwamba Ibn 'Abbaas alisema: Muhammad alisema juu ya Jiwe: "Na Allaah, Allaah Atalileta jiwe hiyo Siku ya Kiyama, na jiwe litakuwa na macho mawili na ambayo yanaona na mdomo ambao utaongea , na jiwe litashuhudia kwa wale walioigusa kwa moyo wa kweli. "Jami` at-Tirmidhi 961
- Jiwe linafuta dhambi likiguswa kwa moyo wa kweli
- Imesimuliwa kutoka kwa Abdullah bin Ubaid bin Umair kwamba: "Ewe Abu abdur-Rahman, kwanini nikuone tu ukigusa hizi pembe mbili?" Alisema: "Muhammad alisema: Kuzigusa zinafuta dhambi." Sunan an-Nasa'i 2919
Uzuri Mimi huwa siongei bila rejea , msome baba wa kuigaHahahhahaha mmeiga kwa waislam imeisha hiyo
Hahhahaha unarudi nyuma ili ujipozeUzuri Mimi huwa siongei bila rejea , msome baba wa kuiga
Soma
Hapa tunamuona kuwakuta wayahudi wanafunga , akawa hajui chochote kuhusu kufunga, akawauliza kwa nini wanafunga siku hiyo, wakamjibu tunafunga maana ndio siku wana wa israel waliokolewa kutoka kwa adui yao na Musa alifunga siku hii, Muhammad akawaambia sisi waislamu ndio tupo karibu na Musa kuliko nyie ([emoji23]) basi tutafunga na sisi leo akaanza kufunga siku hiyo hiyo na akawaamuru waislamu wafunge, na akawanyang'anya wayahudi Musa akamfanya ni wakwao na ni muislamu
Muhammad came to Medina and saw the Jews fasting on the day of Ashura. He asked them about that. They replied, "This is a good day, the day on which God rescued Bani Israel from their enemy. So, Moses fasted this day." Muhammad said, "We have more claim over Moses than you." So, Muhammad fasted on that day and ordered (the Muslims) to fast (on that day).Sahih al-Bukhari 2004