Dhana nzima ya Futari na Daku

Ebu chukulia wewe Numbisa let's say upo na wapangaji wenzako karibia wote wamefunga je itakuwa Busara ukiwa nao barazani mnabadilishana mawili matatu basi ukawa na msosi wako unakula mbele yao je ni Sawa?
Mbona leo yupo Mkristo katikati ya Waislam wanakula na kufurahia chai zao,kahawa wengine wanakunywa supu lakini hakuna mwenye shida na hilo siyo mfungaji wala waliokuwa hawajafunga?labda kwa sababu hajawaambia kama amefunga?

Haya mambo ni utu tu uzingatiwe,wewe uliyefunga acha asiyefunga afanye yake maana mwisho kila mtu ana hukumu yake tatizo ni pale baadhi ya watu wanapoanza kujiona wao ni muhimu zaidi ya wengine kutaka kuingiza itikadi zao kwenye maisha ya watu wasiofanana nao.
 
Chief

Ni kweli usemayo nami nakubaliana na wewe Kwa asilimia zote kabisa.

Na hata mtu ambaye haja funga akila mbele yako bado sioni tatizo Sana kwasababu mfungaji amefunga kama ibada hivyo kama ni muumini WA kweli na kafunga Kwa dhati Kwa kutarajia malipo hawezi athirika na kumuona mtu anakula mbele yake, ingawa Busara inatakiwa Sana Kwa mtu binafsi kutafakari na kuepuka kumkwaza mwenzake

Hivyo hakuna haja ya kutoleana maneno mabaya
 
Unafunga kwa hiyari yako hakuna haja ya kuzuia wengine kula popote, wawe wa dini yako au dini nyingine.
 
Mfano.

Wanafunzi waanze kwenda shule saa moja usiku Hadi saa kumi na moja Asubuhi.

Alafu waje watuambie eti wamefunga shule.
Imani ya DINI ya MAKOBAZI ni ya Hovyo sana.

Kila siku tunasema imetengenezwa Roma hamuelewi
 
Sawa, sisi huku kwa Pengo tunaendelea kama kawa.
 
Unafunga kwa hiyari yako hakuna haja ya kuzuia wengine kula popote, wawe wa dini yako au dini nyingine.

Mkuu unajua huwa tunajifunza kupitia wengine, mfano daktari tunaamini ni mtu ambaye anajua umuhimu wa afya na tunatarajia atakuwa WA kwanza kulinda afya yake,hivyo mtu WA kawaida akimuona daktari huyo huyo anakunywa pombe au kuvuta sigara huenda asione Athari ya vitu kwakuwa anaona kama daktari anatumia basi kumbe ni bla bla Tu

Sasa wakati mwingine tunajitajidi kuelimisha au kuwataka watu wasile hovyo hadharani ili hawa watoto ambao wanakuwa Leo basi wajifunze umuhimu wa ibada hii kwa kutoona wengine wanakula hovyo hadharani hasa katika maeneo ambayo waislamu wapo wengi.

Sijui kama nimetoa mfano sahihi lkn anyways hope imeeleweka
 
DINI ya kuabudu Miungu Mwezi na Jua KUZAMA.

Mungu anasema mumuabudu yeye msiabudu kitu kingine chochote zaidi yake yeye.

Endeleeni kumkufuru
MWEZI WA MUNGU MNASEMA MWEZI WA Lama Hovyo sana nyie.
 
DINI ya kuabudu Miungu Mwezi na Jua KUZAMA.

Mungu anasema mumuabudu yeye msiabudu kitu kingine chochote zaidi yake yeye.

Endeleeni kumkufuru
MWEZI WA MUNGU MNASEMA MWEZI WA Lama Hovyo sana nyie.
Ingawa sijakuelewa unakusudia nini chief

Sijui unaandika huku unatembea au upo kwenye mwendo Kasi?
 
Huwa inasemwa hivi lakini inapokuja kwenye kuigeuza hii kauli kuwa ukweli unakutana na mtu kuitwa majina ya ajabu na kukera kama Kobe,Kaffir wengine kwenda mbali zaidi na kumnyanyapaa yule anayekula!

By the way,hizi imani zina mafundisho tofauti yenye ladha tofauti naamini hata Mungu wa hizi imani ni tofauti so sitegemei kuwa sawa hata siku moja.
 
Chief

Kuhusu wasemaje WA maneno mabaya hawa hawakosekani siku zote maadam tunashare nao hii sayari ya dunia,kwahiyo wakati mwingine ni kuwapuuza Tu.

Kuhusu swala la Mungu kuwa tofauti,Kwa upande wangu naamini tunaye mmoja Tu Ila mapokeo ndio tofauti lkn hii haikufanyi wewe usiamini vinginevyo
 
We babu unazeeka vibaya,
Usahasema Imani sasa Imani ya Mtu anaonaje mateso sio kama wewe ndie utesekaye kwa kuumizwa na matendo ya Imani ya mwengine.
 
Mfano.

Wanafunzi waanze kwenda shule saa moja usiku Hadi saa kumi na moja Asubuhi.

Alafu waje watuambie eti wamefunga shule.
Imani ya DINI ya MAKOBAZI ni ya Hovyo sana.

Kila siku tunasema imetengenezwa Roma hamuelewi
Kwa hiyo Roma ndio wanabadilisha Mchana kua Usiku?
 
Ukichoniandika ni kweli.....ila sababu kubwa pia mie ninayoiona ni ugumu wa maisha na umimi.....coz wapo wenye nazo ila pia hawafanyi hivyo!
 
Daah hii comment niilipita mpaka mdau mmoja alipoquote ndio nimeiyona chief

Ni kweli kabisa zamani ilikuwa Raha Sana yaani mida ya usiku lazima wadau WA kuamsha amsha Kula Daku na dufu zao lazima wachangamshe mambo,sijui vimeishia wapi vile.

Na ni kweli kabisa zamani vile vile kuanzia mtaa mmoja mpaka mwingine ni watu mabarazani kufuturu kiasi kwamba huenda mpaka unafikia kwako ushashiba tayar maana kila mtu anakukaribisha na kutaka upate chochote kutoka kwake.

Naweza sema siku hizi Imani zile hakuna tena, zilishaenda na wazee wetu tumebaki Sisi Tia maji Tia maji
 
Mwaka 2023 bado mnakataa kufunga? Kuna tafiti nyingi sana za Kisayansi zinaonesha kufunga kuna faida kubwa za Ki Afya

Hii ramani ya Kansa Duniani ikionesha rate ya Cancer
Ukiangalia kwa Makini hapo Nchi Za Africa Masikini, Middle East, South Asia na South East Asia kuna low rate ya Cancer compare na Nchi za Ulaya, Marekani, Australia, Japan na Asia ya Mbali kwa Ujumla.

Nchi nyingi za Ghuba ni matajiri wana Consume Sugar kwa wingi na matatizo mengine ya Obesity wanayo kwanini cancer sio nyingi huko? Jibu walilotupa wanasayansi ni kwamba wanafunga.

Kufunga husaidia mambo kama

1. Kufunga kuna Trigger Autophagy
Hii ni process ya ku recycle old damaged protein, unapo recyle hizi protein una recyle pia Mitochndria, hizi Mitochondria zikiwa damaged husababisha cancer.

2.kufunga kunapunguza Inflammation ambayo ikipungua inapunguza Risk ya Chronic deseases kama Cancer

3. Ukifunga unaua Seli na kusababisha kutengenezwa seli mpya zenye nguvu kama killer na Helper T cell, hizi husaidia kupambana na Cancer.

Na sio cancer tu Kufunga kunareset immune system kwa ujumla unapata mwili wenye Afya kuliko mtu asiefunga


Pamoja na Kufunga kukupa Afya kunakusaidia kiimani kuweza kuwafikiria wasio na Chakula ama uwezo, hii hukusaidia kuwa Binadamu bora zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…