Dhana ya kujifukuzisha kazi(absconding) iko vipi?

Dhana ya kujifukuzisha kazi(absconding) iko vipi?

Ofisini kwenu mnaombana ruhusa kienyeji bila ya kujaza fomu ya ruhusa?kuacha kazi ni haki yako ila kuna notisi mbili,,moja ya masaa ishirini na nne ambayo utalazimika kumlipa mwajiri wako mshahara wa mwezi mmoja,,pili notisi ya mwezi mmoja ambayo utafanya kazi bila kulipwa na wewe hautamlipa mwajiri wako,,hapo ndipo utakapokuwa na haki ya kupata fao la kujitoa huko NSSF

Sent using Jamii Forums mobile app

nashukuru kwa msaada wako mimi nitafanya kazi mwezi bure ili nipate barua yangu na vp kama mwajiri atakataa nisifanye kazi mwezi
 
nashukuru kwa msaada wako mimi nitafanya kazi mwezi bure ili nipate barua yangu na vp kama mwajiri atakataa nisifanye kazi mwezi
Unajua kwa wahindi taratibu nyingi sana zinakiukwa na wanatumia pesa kuwanyonya,,,kama atakataaa itabidi avunje yeye mkataba na akuwezeshe ukapate mafao yako,,maana hapo naona big ishu ni wewe kupata mafao yako,,,ukiona anakataaa vyote nenda ofisi za kazi ukamfungulie mashtaka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nilimpatia taarifa msimamizi wangu wa kazi ambaye ni muhindi cha kushangaza meneja mwajiri akumuita kumuuliza na hata mimi hakunipa nafasi ya kujieleza akuna cha kikao cha nidhamu na sijawahi hata kupewa barua ya onyo katika miaka 4 niliyofanya kazi
uliandika barua ya ruhusa ? ulijibiwa barua ?
 
Unajua kwa wahindi taratibu nyingi sana zinakiukwa na wanatumia pesa kuwanyonya,,,kama atakataaa itabidi avunje yeye mkataba na akuwezeshe ukapate mafao yako,,maana hapo naona big ishu ni wewe kupata mafao yako,,,ukiona anakataaa vyote nenda ofisi za kazi ukamfungulie mashtaka

Sent using Jamii Forums mobile app

kweli mimi nataka barua tu nifatilie pesa zangu za nssf maana mambo ya kesi siyawezi pesa sina za kuwalipa wanasheria mfano mdogo muda huu natokea tuico mimi si mwanachama wa tuico nimepata wakati mgumu sana kupata msaada hapa tuico temeke huyu mdada kunijazia fomu tu anataka 50 elfu nimemwambia sina kasema atanijazia tu kwa heshima yangu ila mambo mengine ya kesi nijisimamie mwenyewe
 
sawa nimekuelewa mwajiri anataka nimlipe pesa notisi wakati mimi ni mwajiriwa mshahara ni mwezi sasa notisi ni siku28 na mimi sijaenda kazini siku 9 ya kumi nimeripoti kazini
Mwambie unarudi kazini kutumikia notisi huna pesa ya kumlipa; hizo siku 9 akate kwenye likizo yako
 
Mwambie unarudi kazini kutumikia notisi huna pesa ya kumlipa; hizo siku 9 akate kwenye likizo yako

sawa nipo tayari shida yangu tuachane kwa amani maana mimi bado naitaji kazi ila matatizo na nilimjulisha general manager juu ya tatizo langu ila kwa sababu mimi ni mtanzania na yeye muhindi na meneja mwajiri muhindi hawakunitafuta wala kutaka kunisaidia juu ya matatizo yangu na mimi nisingeweza kumuacha mke wangu apoteze maisha mimi nikiwa kazini maana alikua ni mgonjwa sana na hata siku naondoka kazini ilikua gafla tu sikuweza kufatilia utaratibu kwa hr
 
Ofisini kwenu mnaombana ruhusa kienyeji bila ya kujaza fomu ya ruhusa?kuacha kazi ni haki yako ila kuna notisi mbili,,moja ya masaa ishirini na nne ambayo utalazimika kumlipa mwajiri wako mshahara wa mwezi mmoja,,pili notisi ya mwezi mmoja ambayo utafanya kazi bila kulipwa na wewe hautamlipa mwajiri wako,,hapo ndipo utakapokuwa na haki ya kupata fao la kujitoa huko NSSF

Sent using Jamii Forums mobile app

Ukiacha kazi mafao hayalipwi, ila ukiachishwa unalipwa, na mkataba ukiisha unalipwa.
 
sawa nipo tayari shida yangu tuachane kwa amani maana mimi bado naitaji kazi ila matatizo na nilimjulisha general manager juu ya tatizo langu ila kwa sababu mimi ni mtanzania na yeye muhindi na meneja mwajiri muhindi hawakunitafuta wala kutaka kunisaidia juu ya matatizo yangu na mimi nisingeweza kumuacha mke wangu apoteze maisha mimi nikiwa kazini maana alikua ni mgonjwa sana na hata siku naondoka kazini ilikua gafla tu sikuweza kufatilia utaratibu kwa hr

Watanzania ndio shida yetu,

Unatakiwa uombe ruhusa likizo au ya bila malipo na malipo. Kama ulipewa taarifa ukiwa kazini kuwa unauguliwa ulipaswa kuandika barua hata kama ni mistari miwili.

Next time omba ruhusa hata kama atakata kwa likizo yako.
 
Habari wakuu

Naomba mnisaidie mfanyakazi anawezaje kujifukuzisha kazi? Mimi sijaenda kazini siku 10 nilikuwa na matatizo ya kifamilia nilimjulisha msimamizi wangu wa kazi juu ya hili. Cha kushangaza nimerudi kazini HR anasema nimejifukuzisha kazi.

Amekataa nisifanye kazi na amesema hawezi kunipatia chochote kama notice wala barua ya kuniwezesha kufatilia malipo yangu ya NSSF mpaka niandike barua ya kuacha kazi na nimlipe notisi.

Je ni haki? Eti anasema nimeabscond from job hii ipo vipi nisaidieni nimepoteza kazi na sijalipwa chochote
Bado ujafukuzwa/wala kujifukuzisha kazi. Nakushauri badala ya ushauri wa juu seek a proper legal consultation.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sasa hapo mkuu nifanyeje maana sina barua ya kunisaidia kufatilia pesa ya nssf nina familia sina hata pesa ya matumizi
Contact a lawyer you have a strong case against your employer (wrongful termination/unfair dismissal) usiogope gharama...hizo ela naziona nje nje!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nenda pale CMA, kawafingulie kesi hao kenge wa kihindi, hapo unavyoendelea kukaa nyumbani ndio unazidi kujifukuzisha kazi, pia muajiri hana haki kihivyo ya kukufukuzisha kazi bila kuitwa na kuambiwa makosa yako na lazima iwe katika maandishi, pia lazima upewe onyo na pia kufundishwa ili isiwe ni unfair termination.

Ukiamka tuu na kumfukuza mfanyakazi unatakiwa umpe stahiki zake zote.

Kafungue shauri la unfair termination. Wakulipe stahiki zako zote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kweli mimi nataka barua tu nifatilie pesa zangu za nssf maana mambo ya kesi siyawezi pesa sina za kuwalipa wanasheria mfano mdogo muda huu natokea tuico mimi si mwanachama wa tuico nimepata wakati mgumu sana kupata msaada hapa tuico temeke huyu mdada kunijazia fomu tu anataka 50 elfu nimemwambia sina kasema atanijazia tu kwa heshima yangu ila mambo mengine ya kesi nijisimamie mwenyewe
Nenda pale CMA utakutana na mawakili wanaweza kukusaidia mpaka hapo utakapopata haki zako utawalipa


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Contact a lawyer you have a strong case against your employer (wrongful termination/unfair dismissal) usiogope gharama...hizo ela naziona nje nje!

Sent using Jamii Forums mobile app

mkuu nisaidie kama ni mwanasheria kitakachopatikana utachukua malipo yako nipo tayari kuandikishiana.nipo vibaya kifedha maana sijapewa pesa yeyote mpaka leo
 
ndugu zangu jf kwa yeyote humu ndani ambaye anaweza kunisaidia juu ya kesi yangu naomba anisaidie nipo tayari tuandikishiane kitakachopatikana baada ya kesi kuisha na mimi kushinda tutagawana
 
ukaruhusiwa au ulijipa mwenyewe ruhusa
Kama umejipa mwenyewe na hali ya maisha yalivyo sasa naona kapata njia ya kukutimua tu lakini kisheria na mimi nasubiri nisome comments
Pole
Acheni ujinga wenu!

Hakuna sheria yoyote ya utumishi wa umma inayosema, mtumishi uombe ruhusa!

Sheria inasema, kama siku 5 mfululizo hujawepo kazini bila likizo au sababu yoyote ya msingi ni sawa umejifukuzisha kazi!

Sasa ni wapi imeandikwa lazima upewe ruhusa? Cha msingi kama taarifa ilitolewa kwa maandishi hapo hamna kufukuzwa!
 
nilimpatia taarifa msimamizi wangu wa kazi ambaye ni muhindi cha kushangaza meneja mwajiri akumuita kumuuliza na hata mimi hakunipa nafasi ya kujieleza akuna cha kikao cha nidhamu na sijawahi hata kupewa barua ya onyo katika miaka 4 niliyofanya kazi
Hapo upo correct! Sheria inasema utoe taarifa, siyo upewe ruhusa!!
 
uliandika barua ya ruhusa ? ulijibiwa barua ?
Kwani ni sheria gani inasema lazima ruhusa ijibiwe!!? Kama umetoa taarifa na genuine na anaetaka kutoa ruhusa unayosema akikaa kimya Mimi nisiende kwenye emergence niliyopata eti kisa ruhusa?

Kwanza hakuna sheria inayosema mtumishi uombe ruhusa! Hizo ni kanuni na taratibu inayosema hivyo
 
Acheni ujinga wenu!

Hakuna sheria yoyote ya utumishi wa umma inayosema, mtumishi uombe ruhusa!

Sheria inasema, kama siku 5 mfululizo hujawepo kazini bila likizo au sababu yoyote ya msingi ni sawa umejifukuzisha kazi!

Sasa ni wapi imeandikwa lazima upewe ruhusa? Cha msingi kama taarifa ilitolewa kwa maandishi hapo hamna kufukuzwa!
We ni chokoraa au bangi zinakusumbua?
Unahitaji ukatibiwe akili kwani unapojibu uwe kwanza na heshima lakini kwa kuwa majibu yako ni uharo nikuache tu
Next time do respect other people
Umesoma comment yangu au umelewa

Sent from my SM-G570F using Tapatalk
 
Kwani ni sheria gani inasema lazima ruhusa ijibiwe!!? Kama umetoa taarifa na genuine na anaetaka kutoa ruhusa unayosema akikaa kimya Mimi nisiende kwenye emergence niliyopata eti kisa ruhusa?

Kwanza hakuna sheria inayosema mtumishi uombe ruhusa! Hizo ni kanuni na taratibu inayosema hivyo
acha upumbavu eti hakuna sheria inayosema mtumishi aombe ruhusa.wewe umeajiriwa idara gani kwanza tuanzie hapo
 
Back
Top Bottom