Dhana ya kwamba mshahara ukiongezwa na inflation itatokea ni dhana inayopaswa kufikiriwa na kichaa tu

Dhana ya kwamba mshahara ukiongezwa na inflation itatokea ni dhana inayopaswa kufikiriwa na kichaa tu

We jamaa unajifanyaga una akili lakini zero tu.

Mtumishi wa serikali kila siku ya Mungu anaongezew kazi hata kama serikali haitangazi.

Watumishi wanahudumia wananchi kila siku idadi ya wananchi wanaongezeka subiri sensa ya mwakani uone tupo wangapi hafu ulinganishe Na idadi ya 2012 .

Kwa mtumishi ongezeko LA watu = ongezeko LA kazi
Inaapply kwa kada zote !!daktari wa serikalini,planners,maafisa utumishi,watendaji,maafisa ardhi,wapima ardhi,walimu,wahandisi,mahakimu,polisi, ma IT experts nk
Umemjibu kitaalamu.
Hongera
 
  • Thanks
Reactions: Tlg
We jamaa unajifanyaga una akili lakini zero tu.

Mtumishi wa serikali kila siku ya Mungu anaongezew kazi hata kama serikali haitangazi.

Watumishi wanahudumia wananchi kila siku idadi ya wananchi wanaongezeka subiri sensa ya mwakani uone tupo wangapi hafu ulinganishe Na idadi ya 2012 .

Kwa mtumishi ongezeko LA watu = ongezeko LA kazi
Inaapply kwa kada zote !!daktari wa serikalini,planners,maafisa utumishi,watendaji,maafisa ardhi,wapima ardhi,walimu,wahandisi,mahakimu,polisi, ma IT experts nk
Mwambie tu, usipoongeza wanaoajiriwa=kuwaongezea majukumu walio ndani ya ajira.
 
Hii ndo inaitwa ku think outside the box...

Miaka 8 iliyopita nlihama kutoka kampuni moja kwenda nyingine, nikaacha cheo nikafuata mpunga bt cheo kidogo kuliko nlichokua nimeahidiwa nlipotoka, bro wangu akaniambia within 3 month matumizi yangu yatapanda kulingana na mshahara and from there sitaona tofauti na nlipotoka so bora nibaki coz pale kuna career growth. sikumskiliza bt now i know what he meant....

A salary is just a trap given to keep you there wasting your time to your employer.

Kifupi kupanda kwa mshahara hakujawahi kua suluhisho la matatzo, kila mshahara ukipanda na matumizi nayo lazima yapande, it will just be an endless loop kila mwaka unalilia upande while huna cha maana unachofanya.
Shtuka, Think outside the box..
Acha kujidanganya wewe

Anayelipwa mshahara gross 720,000 Na MTU analipwa mshahara 3.8m jumlisha posho 11 m hawawezi fanana


Wa laki saba atajenga nyumba baada ya miaka mingapi Huyo? Atasomesha wanae shule za aina gani? Atakula chakula cha aina gani? Ataweza kununua usafiri binafsi baada ya miaka mingapi?

Atamalizaje deni la loan board(Heslb) kwa mshahara huo?

Unachosema ni kufurahisha genge tu hapa

Mshahara mkubwa = maendeleo ya haraka ,Maisha bora zaidi.

Mwalimu ata u budget mshahara vizuri kiasi gani huwezi shindana Na gavana wa benki kuu kimaendeleo kwa mshahara tu au mbunge au wakurugenzi was mashirika hawa.
 
Kwahiyo unaamini mimi sifahamu kwamba nyongeza ni jambo la kikatiba na kimkataba? Huu mjadala lengo lake ni kuwezesha hayo mabadiliko ya kikatiba na kimkataba kwa siku za usoni. Sasa turudi kwenye hoja yangu;
Mnataka muongezewe mshahara bila kuongezewa kazi? Je si sahihi zaidi kudai maboresho katika uzalishaji bidhaa ili watu wazalishe kwa tija ba bei zishuke ili waTZ wote tufaidi? Mfano kushusha gharama za umeme (Rufiji) na gharama za usafirishaji (SGR) Ili kushusha bei za bidhaa na huduma. Hali kadhalika, mimi niliejiajiri, nimkabe nani ili aniongezee mshahara? Si mimi mwenyewe ninae takiwa kujichapa mijeledi na kufanya kazi hadi saa saba usiku ili kipato changu kikue, sasa iweje wengine mtake tuwabebe mgongoni kwa kuvuna msichopanda? Mbona mnajitia utaahira watu wazima na akili zenu? Hovyo kabisa!!
We hujui mzunguko wa pesa ukiwa mkubwa uliyejiajiri unafaidika pia !??
 
Alichokizungumza hapa kinaweza kuzungumwa na motivational speaker tu
Ni ujuha kabisa.
Kwahiyo wabunge wote Wana gari za maana inamaana wanajua sana kupangia bajeti mshahara wao tofauti na Askari magereza?
Acha kujidanganya wewe

Anayelipwa mshahara gross 720,000 Na MTU analipwa mshahara 3.8m jumlisha posho 11 m hawawezi fanana


Wa laki saba atajenga nyumba baada ya miaka mingapi Huyo? Atasomesha wanae shule za aina gani? Atakula chakula cha aina gani? Ataweza kununua usafiri binafsi baada ya miaka mingapi?

Atamalizaje deni la loan board(Heslb) kwa mshahara huo?

Unachosema ni kufurahisha genge tu hapa

Mshahara mkubwa = maendeleo ya haraka ,Maisha bora zaidi.

Mwalimu ata u budget mshahara vizuri kiasi gani huwezi shindana Na gavana wa benki kuu kimaendeleo kwa mshahara tu au mbunge au wakurugenzi was mashirika hawa.
 
Hii ndo inaitwa ku think outside the box...

Miaka 8 iliyopita nlihama kutoka kampuni moja kwenda nyingine, nikaacha cheo nikafuata mpunga bt cheo kidogo kuliko nlichokua nimeahidiwa nlipotoka, bro wangu akaniambia within 3 month matumizi yangu yatapanda kulingana na mshahara and from there sitaona tofauti na nlipotoka so bora nibaki coz pale kuna career growth. sikumskiliza bt now i know what he meant....

A salary is just a trap given to keep you there wasting your time to your employer.

Kifupi kupanda kwa mshahara hakujawahi kua suluhisho la matatzo, kila mshahara ukipanda na matumizi nayo lazima yapande, it will just be an endless loop kila mwaka unalilia upande while huna cha maana unachofanya.
Shtuka, Think outside the box..
Halafu pengine una mavyeti na kujiita msomi.
Hivi nyanya unayonunua wewe mwenye mshahara wa ml 3.8? Nyanya yako inalimwa kwenye mawe? Huyo mwenye mshahara wa laki 7 yeye nyanya anayonunua inalimwa kwenye mapango?
Bei ya mafuta ukienda sheli huwa unaulizwa unapokea kiasi gani ili upangiwe Bei? Au Bei huwa Ni kwa Wote?

Fikiria Tena kabla ya kuandika upuuzi.

Kujiongeza majukumu ni maamuzi yako, Bei za sokoni zikibadilika huathiri zaidi wenye kipato Cha chini,maana hawatoweza kukidhi mahitaji yao.
 
Alichokizungumza hapa kinaweza kuzungumwa na motivational speaker tu
Ni ujuha kabisa.
Kwahiyo wabunge wote Wana gari za maana inamaana wanajua sana kupangia bajeti mshahara wao tofauti na Askari magereza?
Acha tu Mkuu kuna watu wanamawazo ya ajabu sana. Motivational speakers ndo huwa wanakauli kama hizo sure!! Huku wao wakikusanya viingilio [emoji23][emoji23][emoji23].



Eti mshahara ukipanda Na mahitaji yako yatapanda so hamna tofauti!!!

Kupanda kwa mahitaji ndo ubora wa maisha umeongezeka huwezi lipwa 10m ukala ugali mchicha mkavu kila siku!! Utaanza kuchanganya samaki, kuku Na udambwidambwi mwengine

Huwezi pigania daladala kuingia dirishani utanunua usafiri wako mzuri wa luxury tu kama hapo tofauti haionekani basi unaugonjwa wa akili.
 
Badala ya kuwaongezea mishahara watu ambao hawajaongezewa kazi, ni kwanini tusishushe bei za bidhaa kwa kuongeza tija katika uzalishaji kwa kushusha bei za umeme kwa mfano (Rufiji) ili bei zitakaposhuka mshahara ule ule utoshe na waTz wote kwa ujumla wanufaike? Yule ambae amejiajiri anamdai nani ili nayeye aongezewe mshahara?
Bidhaa gani itashuka ambayo imepanda kuanzia 2016?
 
Acha tu Mkuu kuna watu wanamawazo ya ajabu sana. Motivational speakers ndo huwa wanakauli kama hizo sure!! Huku wao wakikusanya viingilio [emoji23][emoji23][emoji23].



Eti mshahara ukipanda Na mahitaji yako yatapanda so hamna tofauti!!!

Kupanda kwa mahitaji ndo ubora wa maisha umeongezeka huwezi lipwa 10m ukala ugali mchicha mkavu kila siku!! Utaanza kuchanganya samaki, kuku Na udambwidambwi mwengine

Huwezi pigania daladala kuingia dirishani utanunua usafiri wako mzuri wa luxury tu kama hapo tofauti haionekani basi unaugonjwa wa akili.
Hayo ndio mabadiliko Sasa kupitia mshahara.
Ndio kumove from one stage to another stage of life (maendeleo)

Halafu bado Kuna mapuuzi yanasema mshahara hauwezi kutosha.
Hata usipotosha,si umeshapata maendeleo? Bora ustoshe lakini tayari umeendelea.
 
Ni kwanini usijibu hoja kwa hoja?
We jamaa unajifanyaga una akili lakini zero tu.

Mtumishi wa serikali kila siku ya Mungu anaongezew kazi hata kama serikali haitangazi.

Watumishi wanahudumia wananchi kila siku idadi ya wananchi wanaongezeka subiri sensa ya mwakani uone tupo wangapi hafu ulinganishe Na idadi ya 2012 .

Kwa mtumishi ongezeko LA watu = ongezeko LA kazi
Inaapply kwa kada zote !!daktari wa serikalini,planners,maafisa utumishi,watendaji,maafisa ardhi,wapima ardhi,walimu,wahandisi,mahakimu,polisi, ma IT experts nk
.
 
Wakati mwingine uwe unajiongeza mheshimiwa! Wafanyakazi wakiongezewa mishahara na kupandishwa vyeo kwa wakati, wanachangia pakubwa kuongeza mzunguko wa fedha mtaani!

Hivyo wafanyabiashara na wakulima mtafaidika kwa kuuza bidhaa zenu kwa wingi na hivyo kujiongezea vipato vyenu. Na ikitokea wafanyakazi wakadhulumiwa stahiki zao kama alivyofanya magufuli, ndipo kunatokea low purchasing power kwa bidhaa za nyinyi wajasiriamali na pia wakulima.

Haya makundi matatu siku zote hutegemeana. Ukimuombea njaa mfanyakazi, basi jiandae na wewe kufa njaa kwenye hiyo biashara yako. Maana sisi ndiyo wanunuzi wakubwa wa bidhaa zenu (wafanyabiashara na wakulima)
Kuongeza fedha bila kuongeza uzalishaji si ndio inflation tunayozungumzia hapa?
 
Wakati wa Corona mwaka jana bei ya pipa la mafuta ilikuwa dola 38. Je huku kwetu kuna nauli ya daladala ilishuka?
Usitegemee umeme wa Rufiji utashusha bei ya bidhaa yeyote sana sana utapunguza bei ya unit tu.
Haya sasa ndio ya kulalamikia na kuyadai
 
We jamaa unajifanyaga una akili lakini zero tu.

Mtumishi wa serikali kila siku ya Mungu anaongezew kazi hata kama serikali haitangazi.

Watumishi wanahudumia wananchi kila siku idadi ya wananchi wanaongezeka subiri sensa ya mwakani uone tupo wangapi hafu ulinganishe Na idadi ya 2012 .

Kwa mtumishi ongezeko LA watu = ongezeko LA kazi
Inaapply kwa kada zote !!daktari wa serikalini,planners,maafisa utumishi,watendaji,maafisa ardhi,wapima ardhi,walimu,wahandisi,mahakimu,polisi, ma IT experts nk
Hayo ndio ya kudai, serikali iajiri watumishi wa kutosha kulingana na mahitaji. Wengi bado wanatafuta ajira. Na pia bei za bidhaa zishuke kwa kuongeza uzalishaji wenye tija.
 
Injection kubwa ya pesa katika mzunguko bila kuongeza uzalishaji wenye tija? Unajua nini kitafuata
Ukifanya importation hupati hizo bidhaa ili kuweka ratio ya mzunguko wa pesa? Sio lazima uzalishe wewe. Wewe kazi yako Ni kuhakikisha demand inakuwa kubwa tu ili wafanyabiashara wakulipe Kodi
 
Ukifanya importation hupati hizo bidhaa ili kuweka ratio ya mzunguko wa pesa? Sio lazima uzalishe wewe. Wewe kazi yako Ni kuhakikisha demand inakuwa kubwa tu ili wafanyabiashara wakulipe Kodi
Hiyo importation unafanya kwa shillingi au Dollar? Shillingi nyingi zikikimbiza Dollar chache katika exchange ili kufanya importation, unajua kitakachofuata?
 
Back
Top Bottom