Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Ninasema kuwa dhana hii ni mfu kwa sababu zifuatazo;
1. Je, kwa miaka 5 ya Magufuli bei za vifaa vya ujenzi iko palepale Kwakuwa mshahara haujaongezwa?.
2. Je, Tangu tupate uhuru mpaka sasa Marais waliopita ndio walichangia kuongezeka kwa bei za bidhaa kwa kuruhusu ongezeko la mshahara kwa watumishi?.
3. Mbona wabunge wanalipwa pesa nyingi kuliko watumishi wa umma ?. Kama kiasi cha pesa anacholipwa mtendaji wa mtaa ni sawa na hakipaswi kuongezeka ili kukwepa inflation, je kwanini wabunge nao wasilipwe kwa figure sawa na huyu mtendaji wa mtaa . Si mnasema kinatosha .
4. Je, mshahara wa mtumishi wa umma wa ngazi ya kawaida ( sio kiongozi) unatosha kupata mahitaji yake yote muhimu ?.
Haya mawazo ya kutokuwaongezea watumishi mishahara kisa inflation ni ya kipumbavu na hayapaswi kufikiriwa na mtu mwenye utu na akili timamu.
Mtu analipwa zaidi ya milioni kumi halafu anakuja kutoa mawazo mfu namna hii huku akisahau kuwa kuna watu take home yao ni 400,000 au pungufu.
1. Je, kwa miaka 5 ya Magufuli bei za vifaa vya ujenzi iko palepale Kwakuwa mshahara haujaongezwa?.
2. Je, Tangu tupate uhuru mpaka sasa Marais waliopita ndio walichangia kuongezeka kwa bei za bidhaa kwa kuruhusu ongezeko la mshahara kwa watumishi?.
3. Mbona wabunge wanalipwa pesa nyingi kuliko watumishi wa umma ?. Kama kiasi cha pesa anacholipwa mtendaji wa mtaa ni sawa na hakipaswi kuongezeka ili kukwepa inflation, je kwanini wabunge nao wasilipwe kwa figure sawa na huyu mtendaji wa mtaa . Si mnasema kinatosha .
4. Je, mshahara wa mtumishi wa umma wa ngazi ya kawaida ( sio kiongozi) unatosha kupata mahitaji yake yote muhimu ?.
Haya mawazo ya kutokuwaongezea watumishi mishahara kisa inflation ni ya kipumbavu na hayapaswi kufikiriwa na mtu mwenye utu na akili timamu.
Mtu analipwa zaidi ya milioni kumi halafu anakuja kutoa mawazo mfu namna hii huku akisahau kuwa kuna watu take home yao ni 400,000 au pungufu.