and 300
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 26,398
- 36,406
1. Wakenya mara kadhaa wametumia dhana ya MAITI kuelezea namna ambavyo Watanganyika "Wamekufa" katika kudai haki zao toka Uhuru 1961 (miaka 63 iliyopita).
2. Mkataba wa DP World ilikua fursa ya Watanganyika kukataa dhana ya "MAITI" Ila ndo kama mnakumbuka mkataba umeshaanza kutumika,
3. Finance na appropriation bills ya mwaka huu nayo hakuna anayehangaika nayo Bali tupo bize na Komasava.
4. Mwabukusi alijaribu akachoka.
2. Mkataba wa DP World ilikua fursa ya Watanganyika kukataa dhana ya "MAITI" Ila ndo kama mnakumbuka mkataba umeshaanza kutumika,
3. Finance na appropriation bills ya mwaka huu nayo hakuna anayehangaika nayo Bali tupo bize na Komasava.
4. Mwabukusi alijaribu akachoka.