Dhana ya mikutano ya hadhara kufanyika majimboni vipi wapinzani wasiokuwa na madiwani na wabunge

Dhana ya mikutano ya hadhara kufanyika majimboni vipi wapinzani wasiokuwa na madiwani na wabunge

Mbogo nyeusi

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2019
Posts
233
Reaction score
541
Katiba ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 ambayo mh rais aliapa kuilinda inatoa nafasi ya vyama vyote kufanya mikutano ya hadhara kuzungumza na wanachama wao.

Kauli ya mama ya kwamba mikutano ya hadhara kwa sasa hapana na inaruhusiwa kwa mbunge au diwani afanyie Jimboni kwake inasikitisha na pia inakanyaga katiba ,kumbe hakuna umuhimu wa kuwa na katiba Kama mtu anaweza akadharau katiba aliyo apa kuilinda,hilo katazo linasimamia kifungu gani Cha katiba?

Vyama vya upinzani wiliporwa ushindi kwenye uchaguzi hawana madiwani,wabunge na hata wenyeviti wa mitaa,je vyama hivyo vinaweza vipi kukutana na wanachama wao ikiwa hawana wawakilishi kwenye hizo nafasi?

Na ukisema watafanya mikutano ya ndani ni ukumbi gani unaweza kubeba wafusi wa chama wa kataa nzima kwa mara moja?haiwezekani vyama vingine wao wasifanye mikutano ya hadhara kwamba wanaruhusiwa mikutano ya ndani wengine wao wanaruhusiwa kufanya mikutano ya hadhara,kwa kuwa katazo siyo la leo tulioana serikali ya awamu ya tano ambapo Dr Bashiru, Polepole na Hery James walizunguka nchi nzima,katazo lile lile limejirudia kwa style ile ile ya kujenga uchumi wa nchi.

Mwanasiasa kazi yake ni kufanya siasa,Kama hakuna mikutano siasa ataifanyia wapi?
Vyama vyote makini vina viongozi kuanzia ngazi za vijiji na vitongoji na yupo mtu wa uenezi wa chama,huyo mwenezi anaenezaje itikadi za chama ikiwa haruhusiwi kufanya mikutano ya hadhara?

Katazo hili lisingeleta ukakasi Kama chama tawala nao wangekaa bila kufanya hiyo mikutano,awamu iliyopita walizunguka wenyewe nchi nzima wakieneza Tanzania ya kijani hakika ni aibu.

Mh rais nakushauri katika hili rudi kwenye katiba uliyo apa kusimamia, ccm wapo makada wazuri hofu iko wapi kujibu mashambulizi?

Waache wanasiasa wafanye siasa kwa kufata katiba yetu hiyo ndio kazi yao,

Ondoa haya manunguniko uchumi hauwezi ukazuiwa kwa mkutano utakaofanyika furahisha wa masaa mawili,na pia hayupo wa kukuzuia kufanya maendeleo kisa mikutano,mzee wetu Kikweta alishindwa kuleta maendeleo kisa mikutano ya siasa?acha uoga wakina nape wapo kujibu hoja za wapinzani.

Nashauri mikutano ya hadhara iruhusiwe kwa vile wapinzani hawana wawakilishi majimboni kwa level zote kuanzia mwenyekiti wa mitaa,diwani na mbunge nchi nzima,hivyo kwa kutumia kigezo hicho unawanyima haki ambayo ipo kikatiba.
 
Jamhuri ya muungano wa Tanzania - Kazi iendelee
 
Tulijua waisilamu wakiongoza,nchi inapata furaha.Kumbe wapo baadhi ya waisilamu mashetani kama jiwe
 
Katiba ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 ambayo mh rais aliapa kuilinda inatoa nafasi ya vyama vyote kufanya mikutano ya hadhara kuzungumza na wanachama wao.

Kauli ya mama ya kwamba mikutano ya hadhara kwa sasa hapana na inaruhusiwa kwa mbunge au diwani afanyie Jimboni kwake inasikitisha na pia inakanyaga katiba ,kumbe hakuna umuhimu wa kuwa na katiba Kama mtu anaweza akadharau katiba aliyo apa kuilinda,hilo katazo linasimamia kifungu gani Cha katiba?

Vyama vya upinzani wiliporwa ushindi kwenye uchaguzi hawana madiwani,wabunge na hata wenyeviti wa mitaa,je vyama hivyo vinaweza vipi kukutana na wanachama wao ikiwa hawana wawakilishi kwenye hizo nafasi?

Na ukisema watafanya mikutano ya ndani ni ukumbi gani unaweza kubeba wafusi wa chama wa kataa nzima kwa mara moja?haiwezekani vyama vingine wao wasifanye mikutano ya hadhara kwamba wanaruhusiwa mikutano ya ndani wengine wao wanaruhusiwa kufanya mikutano ya hadhara,kwa kuwa katazo siyo la leo tulioana serikali ya awamu ya tano ambapo Dr Bashiru, Polepole na Hery James walizunguka nchi nzima,katazo lile lile limejirudia kwa style ile ile ya kujenga uchumi wa nchi.

Mwanasiasa kazi yake ni kufanya siasa,Kama hakuna mikutano siasa ataifanyia wapi?
Vyama vyote makini vina viongozi kuanzia ngazi za vijiji na vitongoji na yupo mtu wa uenezi wa chama,huyo mwenezi anaenezaje itikadi za chama ikiwa haruhusiwi kufanya mikutano ya hadhara?

Katazo hili lisingeleta ukakasi Kama chama tawala nao wangekaa bila kufanya hiyo mikutano,awamu iliyopita walizunguka wenyewe nchi nzima wakieneza Tanzania ya kijani hakika ni aibu.

Mh rais nakushauri katika hili rudi kwenye katiba uliyo apa kusimamia, ccm wapo makada wazuri hofu iko wapi kujibu mashambulizi?

Waache wanasiasa wafanye siasa kwa kufata katiba yetu hiyo ndio kazi yao,

Ondoa haya manunguniko uchumi hauwezi ukazuiwa kwa mkutano utakaofanyika furahisha wa masaa mawili,na pia hayupo wa kukuzuia kufanya maendeleo kisa mikutano,mzee wetu Kikweta alishindwa kuleta maendeleo kisa mikutano ya siasa?acha uoga wakina nape wapo kujibu hoja za wapinzani.

Nashauri mikutano ya hadhara iruhusiwe kwa vile wapinzani hawana wawakilishi majimboni kwa level zote kuanzia mwenyekiti wa mitaa,diwani na mbunge nchi nzima,hivyo kwa kutumia kigezo hicho unawanyima haki ambayo ipo kikatiba.
Ni wazi: Pamoja na kukataa mchakato wa katiba mpya; CCM na viongozi wake hawaheshimu katiba iliyopo ambalo ni tendo la kihaini. Wote tukatae hali hii na tuendelee kupayuka: KATIBA MPYA!!!?
 
Mlioko karibu na huyo mama mmshauri afuate Katiba kama ilivyoandikwa. Uhuru wa watu ni mhimu zaidi kuliki uraisi wake. Atende HAKI kwa wananchi
 
Katiba ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 ambayo mh rais aliapa kuilinda inatoa nafasi ya vyama vyote kufanya mikutano ya hadhara kuzungumza na wanachama wao.

Kauli ya mama ya kwamba mikutano ya hadhara kwa sasa hapana na inaruhusiwa kwa mbunge au diwani afanyie Jimboni kwake inasikitisha na pia inakanyaga katiba ,kumbe hakuna umuhimu wa kuwa na katiba Kama mtu anaweza akadharau katiba aliyo apa kuilinda,hilo katazo linasimamia kifungu gani Cha katiba?

Vyama vya upinzani wiliporwa ushindi kwenye uchaguzi hawana madiwani,wabunge na hata wenyeviti wa mitaa,je vyama hivyo vinaweza vipi kukutana na wanachama wao ikiwa hawana wawakilishi kwenye hizo nafasi?

Na ukisema watafanya mikutano ya ndani ni ukumbi gani unaweza kubeba wafusi wa chama wa kataa nzima kwa mara moja?haiwezekani vyama vingine wao wasifanye mikutano ya hadhara kwamba wanaruhusiwa mikutano ya ndani wengine wao wanaruhusiwa kufanya mikutano ya hadhara,kwa kuwa katazo siyo la leo tulioana serikali ya awamu ya tano ambapo Dr Bashiru, Polepole na Hery James walizunguka nchi nzima,katazo lile lile limejirudia kwa style ile ile ya kujenga uchumi wa nchi.

Mwanasiasa kazi yake ni kufanya siasa,Kama hakuna mikutano siasa ataifanyia wapi?
Vyama vyote makini vina viongozi kuanzia ngazi za vijiji na vitongoji na yupo mtu wa uenezi wa chama,huyo mwenezi anaenezaje itikadi za chama ikiwa haruhusiwi kufanya mikutano ya hadhara?

Katazo hili lisingeleta ukakasi Kama chama tawala nao wangekaa bila kufanya hiyo mikutano,awamu iliyopita walizunguka wenyewe nchi nzima wakieneza Tanzania ya kijani hakika ni aibu.

Mh rais nakushauri katika hili rudi kwenye katiba uliyo apa kusimamia, ccm wapo makada wazuri hofu iko wapi kujibu mashambulizi?

Waache wanasiasa wafanye siasa kwa kufata katiba yetu hiyo ndio kazi yao,

Ondoa haya manunguniko uchumi hauwezi ukazuiwa kwa mkutano utakaofanyika furahisha wa masaa mawili,na pia hayupo wa kukuzuia kufanya maendeleo kisa mikutano,mzee wetu Kikweta alishindwa kuleta maendeleo kisa mikutano ya siasa?acha uoga wakina nape wapo kujibu hoja za wapinzani.

Nashauri mikutano ya hadhara iruhusiwe kwa vile wapinzani hawana wawakilishi majimboni kwa level zote kuanzia mwenyekiti wa mitaa,diwani na mbunge nchi nzima,hivyo kwa kutumia kigezo hicho unawanyima haki ambayo ipo kikatiba.
Wakae pembeeniii.
 
Ngoja nitumie wewe kujibu wana JF. Ni dhana ya kishenzi iliyoanzishwa na mwendawazimu mmoja. Huyu naye anataka kuiga ushenzi. Kazi yetu ni kuomba. Kiongozi akitufanyia unyama, sisi tutamwomba Mungu tu. Katiba inatoa uhuru wa kazi za kisiasa. Watanzania hatuna matata. Kazi yetu ni maombi tu. Na Mungu huwa anajibu maombi yetu kwa njia zake.
Jamhuri ya muungano wa Tanzania - Kazi iendelee
 
Tunaona Mama Samia kaanza kurithi makatazo ya mwendazake, ila akumbuke mikono ya mwendazake ilikuwa ni michafu mno...no wonder MUNGU akasema yatosha!!

Ok sisi tunaendelea, CCM watake wasitake suala la katiba mpya halivumiliki tena...its not an option any more!!

Kesho ni siku muhimi sana kwangu mimi na kwa vizazi vyangu vijavyo!! Tukutane tujadili mustakabali wa nchi yetu kuhusu katiba na tume huru ya uchaguzi.
 
Katika makosa wanatofanya watalawa ni kuzuia Yale wanayoona hayana adhari kwao i.e katiba mpya na mikutano ya hadhara yaani ndio inayowapa wapinzani platform mbaya zaidi siku hizi social media zina nguvu Sana ndio maana mwendazake kapambana miaka mitano lakin haikumsaidia kwenye uchaguzi zaidi ya time ya uchaguzi na police
 
Katiba ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 ambayo mh rais aliapa kuilinda inatoa nafasi ya vyama vyote kufanya mikutano ya hadhara kuzungumza na wanachama wao.

Kauli ya mama ya kwamba mikutano ya hadhara kwa sasa hapana na inaruhusiwa kwa mbunge au diwani afanyie Jimboni kwake inasikitisha na pia inakanyaga katiba ,kumbe hakuna umuhimu wa kuwa na katiba Kama mtu anaweza akadharau katiba aliyo apa kuilinda,hilo katazo linasimamia kifungu gani Cha katiba?

Vyama vya upinzani wiliporwa ushindi kwenye uchaguzi hawana madiwani,wabunge na hata wenyeviti wa mitaa,je vyama hivyo vinaweza vipi kukutana na wanachama wao ikiwa hawana wawakilishi kwenye hizo nafasi?

Na ukisema watafanya mikutano ya ndani ni ukumbi gani unaweza kubeba wafusi wa chama wa kataa nzima kwa mara moja?haiwezekani vyama vingine wao wasifanye mikutano ya hadhara kwamba wanaruhusiwa mikutano ya ndani wengine wao wanaruhusiwa kufanya mikutano ya hadhara,kwa kuwa katazo siyo la leo tulioana serikali ya awamu ya tano ambapo Dr Bashiru, Polepole na Hery James walizunguka nchi nzima,katazo lile lile limejirudia kwa style ile ile ya kujenga uchumi wa nchi.

Mwanasiasa kazi yake ni kufanya siasa,Kama hakuna mikutano siasa ataifanyia wapi?
Vyama vyote makini vina viongozi kuanzia ngazi za vijiji na vitongoji na yupo mtu wa uenezi wa chama,huyo mwenezi anaenezaje itikadi za chama ikiwa haruhusiwi kufanya mikutano ya hadhara?

Katazo hili lisingeleta ukakasi Kama chama tawala nao wangekaa bila kufanya hiyo mikutano,awamu iliyopita walizunguka wenyewe nchi nzima wakieneza Tanzania ya kijani hakika ni aibu.

Mh rais nakushauri katika hili rudi kwenye katiba uliyo apa kusimamia, ccm wapo makada wazuri hofu iko wapi kujibu mashambulizi?

Waache wanasiasa wafanye siasa kwa kufata katiba yetu hiyo ndio kazi yao,

Ondoa haya manunguniko uchumi hauwezi ukazuiwa kwa mkutano utakaofanyika furahisha wa masaa mawili,na pia hayupo wa kukuzuia kufanya maendeleo kisa mikutano,mzee wetu Kikweta alishindwa kuleta maendeleo kisa mikutano ya siasa?acha uoga wakina nape wapo kujibu hoja za wapinzani.

Nashauri mikutano ya hadhara iruhusiwe kwa vile wapinzani hawana wawakilishi majimboni kwa level zote kuanzia mwenyekiti wa mitaa,diwani na mbunge nchi nzima,hivyo kwa kutumia kigezo hicho unawanyima haki ambayo ipo kikatiba.
Madaraka yameishaanza kumlewesha Mama. Alionekana kuanza vyema LAKINI sasa anaenda KANDO YA NJIA
 
Pamoja na yote hayo, siasa si kwa wenye vyeo tu (udiwani, ubunge au nafasi yoyote ile ya umma), bali hata mimi nisiye na cheo chochote kile, naruhusiwa kisheria kufanya siasa popote pale ndani ya JMT. Kufanya siasa ni haki ya kiraia kwa kila raia.

Siasa ni mjadala ulio rasmi na usio rasmi wa maoni ya kila mtu kuelezea jinsi maisha yanavyopaswa kuwa katika ngazi yoyote ile, hata ya kifamilia. Kupiga kura au kugoma kupiga kura nako ni kitendo cha kisiasa. It is to protest!

Kuwapangia watu maeneo ya kufanya siasa ni kukiuka haki za kiraia na kuleta ubaguzi wa kimaeneo. Tuko huru kufanya chochote na popote Tanzania ilimradi tusivunje sheria.

Jimbo la kisiasa kwa kila Mtanzania ni Tanzania, ambako ni nyumbani kwetu. Eneo letu la kufanyia siasa ni Tanzania.

Nikiwa Pangani, Kamachumu, Mwakaleli, Ilagala, Nanyamba, Haydom, Mdabulo, Usangi, Machame, Kisolya, nk; ni eneo langu la kujidai na kufanyia siasa na maendeleo mengine. Japo pia naweza kufanya siasa za Tanzania kutokea popote duniani.

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
 
Tunaona Mama Samia kaanza kurithi makatazo ya mwendazake, ila akumbuke mikono ya mwendazake ilikuwa ni michafu mno...no wonder MUNGU akasema yatosha!!

Ok sisi tunaendelea, CCM watake wasitake suala la katiba mpya halivumiliki tena...its not an option any more!!

Kesho ni siku muhimi sana kwangu mimi na kwa vizazi vyangu vijavyo!! Tukutane tujadili mustakabali wa nchi yetu kuhusu katiba na tume huru ya uchaguzi.
Mtawakusanya majuha tu
 
Katiba ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 ambayo mh rais aliapa kuilinda inatoa nafasi ya vyama vyote kufanya mikutano ya hadhara kuzungumza na wanachama wao.

Kauli ya mama ya kwamba mikutano ya hadhara kwa sasa hapana na inaruhusiwa kwa mbunge au diwani afanyie Jimboni kwake inasikitisha na pia inakanyaga katiba ,kumbe hakuna umuhimu wa kuwa na katiba Kama mtu anaweza akadharau katiba aliyo apa kuilinda,hilo katazo linasimamia kifungu gani Cha katiba?

Vyama vya upinzani wiliporwa ushindi kwenye uchaguzi hawana madiwani,wabunge na hata wenyeviti wa mitaa,je vyama hivyo vinaweza vipi kukutana na wanachama wao ikiwa hawana wawakilishi kwenye hizo nafasi?

Na ukisema watafanya mikutano ya ndani ni ukumbi gani unaweza kubeba wafusi wa chama wa kataa nzima kwa mara moja?haiwezekani vyama vingine wao wasifanye mikutano ya hadhara kwamba wanaruhusiwa mikutano ya ndani wengine wao wanaruhusiwa kufanya mikutano ya hadhara,kwa kuwa katazo siyo la leo tulioana serikali ya awamu ya tano ambapo Dr Bashiru, Polepole na Hery James walizunguka nchi nzima,katazo lile lile limejirudia kwa style ile ile ya kujenga uchumi wa nchi.

Mwanasiasa kazi yake ni kufanya siasa,Kama hakuna mikutano siasa ataifanyia wapi?
Vyama vyote makini vina viongozi kuanzia ngazi za vijiji na vitongoji na yupo mtu wa uenezi wa chama,huyo mwenezi anaenezaje itikadi za chama ikiwa haruhusiwi kufanya mikutano ya hadhara?

Katazo hili lisingeleta ukakasi Kama chama tawala nao wangekaa bila kufanya hiyo mikutano,awamu iliyopita walizunguka wenyewe nchi nzima wakieneza Tanzania ya kijani hakika ni aibu.

Mh rais nakushauri katika hili rudi kwenye katiba uliyo apa kusimamia, ccm wapo makada wazuri hofu iko wapi kujibu mashambulizi?

Waache wanasiasa wafanye siasa kwa kufata katiba yetu hiyo ndio kazi yao,

Ondoa haya manunguniko uchumi hauwezi ukazuiwa kwa mkutano utakaofanyika furahisha wa masaa mawili,na pia hayupo wa kukuzuia kufanya maendeleo kisa mikutano,mzee wetu Kikweta alishindwa kuleta maendeleo kisa mikutano ya siasa?acha uoga wakina nape wapo kujibu hoja za wapinzani.

Nashauri mikutano ya hadhara iruhusiwe kwa vile wapinzani hawana wawakilishi majimboni kwa level zote kuanzia mwenyekiti wa mitaa,diwani na mbunge nchi nzima,hivyo kwa kutumia kigezo hicho unawanyima haki ambayo ipo kikatiba.
Mikutano ya hadhara si kwa hisani au utashi wa rais. Ni haki ya kiraia uliyoainishwa kisheria.

Hatuhitaji kuruhusiwa au kutoruhusiwa na mwingine yoyote maana tayari katiba imeturuhusu. Anachofanya Rais Samia ni kuvunja katiba aliyoapa kuilinda pamoja na sheria zingine za uhuru wa kisiasa.

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom