Mpigania uhuru wa pili
JF-Expert Member
- Apr 12, 2023
- 3,380
- 6,376
Kuna miradi ni jukumu la serikali kuibeba hasa ile inayohusu kuhudumia wananchi mfano barabara, hospitali, kusambaza umeme, maji na mingine kama hiyo hiyo ni jukumu la serikali kuitekeleza
Kuna miradi kweli unahitaji PPP kuitekeleza sababu utekelezaji wake unahitaji fedha kubwa mfano
Mfano mdogo tu daraja la kigamboni yale ndo matokeo ya kutumia PPP hadi kwenye maeneo ambayo hayatakiwa matokeo yake wananchi wanalipishwa fedha kutumia lile daraja
Jana Rais anasema wanatafuta mwekezaji ajenge barabara ya handeni mpaka singida unajua ni kichekesho matokeo yake yatatokea kama yale yale ya daraja la kigamboni
Kama serikali inataka kila jambo kuwatupia PPP wao kazi yao ni nini hasa mbona tuna-viongozi wavivu sana wasiotaka kuwajibika ilihali wanalipwa mamilion kila mwezi
Kuna miradi kweli unahitaji PPP kuitekeleza sababu utekelezaji wake unahitaji fedha kubwa mfano
- Mradi wa kuchakata gesi asilia Lindi unahitaji mwekezaji sababu gharama yake ni kubwa sana usd billion 40 ni kubwa sana
- Mradi wa kujenga oil refinery sababu unahitaji mtaji mkubwa
- Mradi wa kujenga petrochemical plant unahitaji mtaji mkubwa
- Mradi wa bandari kutokana na umuhimu wake ni vizuri ukawa chini ya serikali
- Mradi wa treni za umeme ni vizuri ukawa chini ya serikali
Mfano mdogo tu daraja la kigamboni yale ndo matokeo ya kutumia PPP hadi kwenye maeneo ambayo hayatakiwa matokeo yake wananchi wanalipishwa fedha kutumia lile daraja
Jana Rais anasema wanatafuta mwekezaji ajenge barabara ya handeni mpaka singida unajua ni kichekesho matokeo yake yatatokea kama yale yale ya daraja la kigamboni
Kama serikali inataka kila jambo kuwatupia PPP wao kazi yao ni nini hasa mbona tuna-viongozi wavivu sana wasiotaka kuwajibika ilihali wanalipwa mamilion kila mwezi