Dhana ya uhaba wa wanaume: huwaweka baadhi ya wanawake katika mahusiano magumu…!


Kaka naungana na wewe, kuna ukweli kuwa wako wanawake wanaong'ang'ania kwenye mahusiano kwa hofu ya "wanaume ni wachache" Lakini wingi au uchache wa watu ni sababu tosha ya kumfanya mtu aishi kwenye hali ya dhiki, mateso na majuto? Je mwanamke hawezi kuishi bila mwanaume? Kuna sababu gani ya kuishi kwenye ndoa ya mateso?
Nafikiria inatakiwa wanawake wafikie kipindi wajiamini na kuondoka na dhana potofu ya kuwa wanaume ni wachache na hivyo wanatakiwa kung'ang'ania hata kama wanapata mateso ya namna gani.
 

JIBU HILI HAPA:

https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/265908-badili-jiondoe-au-kubali-matokeo%85.html
 

kiongoz upo positive kabisa ningekupa like..ni simu tu..
 

mrembo hata wewe akili ipo hapo kichwani mwako..hawa mods watuwekee like za simu...
 
na kitu ambacho wanawake wengi hawajui ni kwamba..wanawake ndio wanathamani kubwa sana na ndio adimu zaidi kuliko wanaume,maan kwa sasa ukisimamisha wanawake laki 1. wenye sifa na hadhi ya kuitwa wake ni elfu 8 mpaka10 .wengi hawafai hata kuwasogelea ..sasa wewe mwanamke mwenye moyo wa uvumilivu na sifa zote za kuwa mke hujioni ulivyo wa thaman na adimu?ni ukweli usiopingika kuwa wanaume hatuwezi kuishi na mwanamke asie na sifa za kuitwa mke..tena kama ukigundua huyu nimekosea kumuoa basi maamuziya kujitazama sasa huwa yanafuata..lakini kwa mwanamke mwenye sifa za kuitwa mke,kama unajitambua kuwa sifa hizo unazo usikubali kunyanyasika..wewe ni mtu mwenye thamani na inabidi ujijue ni gharama na bahati ya haliya juu mtu kuwa nawe kama mke.
 
Mmmh kisu mfupani jamani.................ila na mateso ya wanawake wengine pia ni kama kuendeleza kiburi chao

Nimewahi kumsikia mmoja kuwa sitoki hapa labda atoke yeye ilhali ye ndo ana depression syndrome fully blown..............nilichanganyikiwa ila ulikuwa ndo msimamo wake

Msaada; Kama baba anamtesa mama au kumnyanyasa ni sawa kwa mama kuwaeleza watoto haswa kama ni watu wazima (watoto)?????

Mytake; Ni lazima mama kuwaelelza watoto ili wamjue baba yao na wajiunge kama timu katika kumrekebisha........mficha maradhi...............
 
Mtambuzi....leo nimebadilisha specs napata sana tabu jamani.........looh salaale uzee huuu balaaa
Ntasoma vizuri na kuchambia keshoooo....ona sasa.....aaah...ntachangia kesho!
 

Hii comment yako imenitoa chozi kaunga,
 
Wanaume wanaojitambua na kujielewa ndio wachache kweli ila hiyo si sababu ya kung'ang'ania mahusiano yasiyo na furaha. Jamani wanawake tunaweza kuishi bila hawa wanyama wenye mikia mbele.
 
Looh mwanamke ukishagundua jamaa habadiriki kimbia kabisa, hapa kuna mazoea eti atabadilika hadi unazeekea pale na stress ndo zinauwa wanawake wengi.
 

Asante nimeishaona point (in red) niliyotaka kuongezea
 
Wanaume wanaojitambua na kujielewa ndio wachache kweli ila hiyo si sababu ya kung'ang'ania mahusiano yasiyo na furaha. Jamani wanawake tunaweza kuishi bila hawa wanyama wenye mikia mbele.

Ukishafanya wrong choice ndo matokeo yake haya. Hii iko kote kote, kwa wanaume na kwa wanawake. Kuna wababa kibao tu nao wako kwenye mahusiano yasiyo na furaha
 
DUH................................Mtambuzi unamambo,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,
 

SnowBall nimetafuta kitufe cha LIKE sikioni...................
Pokea LIKE yangu mkuu.

kwanza sijui nilikuwa wapi huu uzi ukanipita hivi ila b4 i proceed naomba nianze ku comment hapa.

si kweli kwamba wanawake tunang'ang'ania kwenye mahusianao yanayotuumiza eti kisa jamii itanionaje ama nitaishije la hasha. Mtambuzi na SnowBall jamani mnaish haa dunian mnajua mila za kiafrika zilivyo. Binti anapoposwa hadi akafanya ndoa somo kubwa analoambiwa ni akawe mtii na mvumilivu. kijana hana anachoambiwa zaid ya kamlee mkeo. sasa hali hii ukiirefer kwenye maandiko ya dini yanatufunga sana manake Mungu anasema alilolifunga yeyey mwanadamu asilitenganishe. hapa akina mama huwa tunabeba mzig wa je wanangu hawa nitawaambia nini kwamba nimedivarce na baba yao. je sitowajengea hatred kwa baba yao?

pia sisi akina mama huwa tunapenda pia kuyafikiria maisha katika wider angle. hivi wafikiri ni ngumu kuanzisha maisha mpya lkn unajifkiria nitakapo yaanza je wanangu wataish vipi?maskini ya mungu? ni ta coupe lakini wao watakubaliana na hali hi watayakubali maisha ? huwa hata siku moja hatufikirii ugumu wa maisa bali amani ya watoto basi.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…