Dhana ya utaifa imefeli Afrika, nchi nyingi zigawanywe upya kuwa kingdoms za kikabila, viongozi wapo loyal zaidi kwa makabila yao kuzidi utaifa

Dhana ya utaifa imefeli Afrika, nchi nyingi zigawanywe upya kuwa kingdoms za kikabila, viongozi wapo loyal zaidi kwa makabila yao kuzidi utaifa

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
1735845450518.png


Mataifa ya ulaya yamegawanyika kwa misingi ya kikabila, Pengine ni factor mojawapo ya maendeleo

Katika kitu walichokosea wakoloni kwa baadhi ya nchi ni kuunganisha makabila yawe nchi moja, Pengine walifanya maksudi kabisa kwa nia mbaya.

Tushukuru sana hapa Tanzania kutoka kwa Mwalimu Nyerere na mapungufu yake lakini aliweza kupunguza ukabila kwa kiasi kikubwa sana.

Ukabila umekuwa ukisumbua nchi nyingi sana Afrika

Mindset za watu wengi zipo kikabila,

Mkurugenzi wa shirika la kitaifa anapachika watu wa kabila lake

Kiongozi wa idara ya ulinzi anapachika watu wa kabila lake

kiongozi wa taifa analipa kipaumbele kabila lake

Mkurugenzi wa taasisi ya mikopo ya vyuoni anapendelea zaidi watu wa kabila lake,
 
View attachment 3190956

Katika kitu walichokosea wakoloni kwa baadhi ya nchi ni kuunganisha makabila yawe nchi moja, Pengine walifanya maksudi kabisa kwa nia mbaya.

Tushukuru sana hapa Tz Nyerere na mapungufu yake lakini aliweza kupunguza ukabila kwa kiasi kikubwa sana.

Ukabila umekuwa ukisumbua nchi nyingi sana Afrika

Mindset za watu wengi zipo kikabila,

Mkurugenzi wa shirika la kitaifa anapachika watu wa kabila lake
Kiongozi wa idara ya ulinzi anapachika watu wa kabila lake
kiongozi wa taifa analipa kipaumbele kabila lake
mkurugenzi wa taasisi ya mikopo ya vyuoni anapendelea zaidi watu wa kabila lake,
 
View attachment 3190956

Katika kitu walichokosea wakoloni kwa baadhi ya nchi ni kuunganisha makabila yawe nchi moja, Pengine walifanya maksudi kabisa kwa nia mbaya.

Tushukuru sana hapa Tanzania kutoka kwa Mwalimu Nyerere na mapungufu yake lakini aliweza kupunguza ukabila kwa kiasi kikubwa sana.

Ukabila umekuwa ukisumbua nchi nyingi sana Afrika

Mindset za watu wengi zipo kikabila,

Mkurugenzi wa shirika la kitaifa anapachika watu wa kabila lake

Kiongozi wa idara ya ulinzi anapachika watu wa kabila lake

kiongozi wa taifa analipa kipaumbele kabila lake

Mkurugenzi wa taasisi ya mikopo ya vyuoni anapendelea zaidi watu wa kabila lake,
SIJAKUELEWA.

LAKINI NIKUULIZE,HIVI UNAJUA NCHI ZOTE ZA ULAYA KILA MOJA NI KABILA?

MFANO UJERUMANI,LILE NI KABILA,VILEVILE UINGEREZA NK..
 
View attachment 3190956

Mataifa ya ulaya yamegawanyika kwa misingi ya kikabila, Pengine ni factor mojawapo ya maendeleo

Katika kitu walichokosea wakoloni kwa baadhi ya nchi ni kuunganisha makabila yawe nchi moja, Pengine walifanya maksudi kabisa kwa nia mbaya.

Tushukuru sana hapa Tanzania kutoka kwa Mwalimu Nyerere na mapungufu yake lakini aliweza kupunguza ukabila kwa kiasi kikubwa sana.

Ukabila umekuwa ukisumbua nchi nyingi sana Afrika

Mindset za watu wengi zipo kikabila,

Mkurugenzi wa shirika la kitaifa anapachika watu wa kabila lake

Kiongozi wa idara ya ulinzi anapachika watu wa kabila lake

kiongozi wa taifa analipa kipaumbele kabila lake

Mkurugenzi wa taasisi ya mikopo ya vyuoni anapendelea zaidi watu wa kabila lake,
Zanzibar bora kungekuwa na uongozi wa kifalme halafu kukawa na uchaguzi wa mtendaji mkuu wa serikali kama vile UK, Baraza la Zanzibar lifanye kazi kwa maendeleo ya Zanzibar tu na kuhusu huo muungano kuwe na mkataba mpya au kila mtu kwao.
 
Ukabila ni tool ya ubaguzi tu ila mbaguzi ni binadamu. Mbaguzi hakosi sababu ya kubagua.

Mfano, Tanzania nzima tungekuwa wanyiramba, ingeibuka tool ya wanyiramba wa kusini na wanyiramba wa kaskazini.

Hata tukawa wote wanyiramba wa kusini itaibuka tool ya wa kusini wa boma za huko na kusini wa boma za huku.

Tukawa wote wa kusini wa boma za huku, itaibuka tool ya wa boma za huku wa mzee huyu wa boma za huku wa mzee yule.

Yaani inshort, wabaguzi hawakosi sababu ya kubaguana.
 
Sio kweli
Detribalisation in Europe was a gradual process from around the first few centuries AD onwards, and was largely brought about by Romanisation and eventually Christianisation. Over the centuries the tribes eventually coalesced to become nations, though some people would argue that nations are just large tribes.2 Jun 2021
 
Detribalisation in Europe was a gradual process from around the first few centuries AD onwards, and was largely brought about by Romanisation and eventually Christianisation. Over the centuries the tribes eventually coalesced to become nations, though some people would argue that nations are just large tribes.2 Jun 2021
Sio nchi zote mzee
 

Tanzania haiwezi kuwa applied...Sasa Mfano Nchi nzima iwe Wazaramo tu kuna kazi apo Ndugu.
Ndio maana wachaga waliomba uhuru wao. Ulaya ni vinchi vidogo vidogo sana.
Kwanza Kuna hoja kuwa wazungu Africa wanaidogosha/ wanaifanya kuwa ndogo kwenye ramani kisha wanakuza mabara mengine ili sisi tuonekane wadogo na hatuna nguvu.
 
Ndio maana wachaga waliomba uhuru wao. Ulaya ni vinchi vidogo vidogo sana.
Kwanza Kuna hoja kuwa wazungu Africa wanaidogosha/ wanaifanya kuwa ndogo kwenye ramani kisha wanakuza mabara mengine ili sisi tuonekane wadogo na hatuna nguvu.
View attachment 3191940
Hao wachaga wakipewa nchi yao ndo kitawaka chap sana, jamaa ndani yauchaga wanabaguana sana kati ya wameru, wakibosho, wauru, wamachame nawarombo
 
Hao wachaga wakipewa nchi yao ndo kitawaka chap sana, jamaa ndani yauchaga wanabaguana sana kati ya wameru, wakibosho, wauru, wamachame nawarombo
Yah. Ni kweli ila mtoa mada anapoint kubwa sana. Wazungu wamekaa kikabila ndio maana wanaelewana. Ile vita huko Yugoslavia zamani na Herzegovina huko ni makabila yalikuwa yanataka Kila kabila likae kivyake. Unaona hata Putin anapigana na Moja ya sababu anasema kuwa Yale majimbo aliyochukua Ukraine ni sehemu ya Russia maana wanaongea kirusia na Mila na desturi zao ni za kirusi.
So pengine tungekaa kimakabila kama nchi tungeendelea sana.
Haiwezekani kwa mfano mapato ya madini na samaki Kanda ya ziwa yanaenda serikali kuu kwanza ndio mgawanyo unafanyika then eneo lililotoa mapato linapata mgao kidogo. Huo ni upuuzi.
Rasilimali za eneo husika zinufaishe kwanza wakazi wa eneo husika ndio maeneo mengine yapate.
By the way, ndio maana wanasema ulaya magharibi yote inaingia Congo Kinshasa na kubaki eneo kubwa TU.
 
View attachment 3190956

Mataifa ya ulaya yamegawanyika kwa misingi ya kikabila, Pengine ni factor mojawapo ya maendeleo

Katika kitu walichokosea wakoloni kwa baadhi ya nchi ni kuunganisha makabila yawe nchi moja, Pengine walifanya maksudi kabisa kwa nia mbaya.

Tushukuru sana hapa Tanzania kutoka kwa Mwalimu Nyerere na mapungufu yake lakini aliweza kupunguza ukabila kwa kiasi kikubwa sana.

Ukabila umekuwa ukisumbua nchi nyingi sana Afrika

Mindset za watu wengi zipo kikabila,

Mkurugenzi wa shirika la kitaifa anapachika watu wa kabila lake

Kiongozi wa idara ya ulinzi anapachika watu wa kabila lake

kiongozi wa taifa analipa kipaumbele kabila lake

Mkurugenzi wa taasisi ya mikopo ya vyuoni anapendelea zaidi watu wa kabila lake,
Akili ya kingese sana
 
Yah. Ni kweli ila mtoa mada anapoint kubwa sana. Wazungu wamekaa kikabila ndio maana wanaelewana. Ile vita huko Yugoslavia zamani na Herzegovina huko ni makabila yalikuwa yanataka Kila kabila likae kivyake. Unaona hata Putin anapigana na Moja ya sababu anasema kuwa Yale majimbo aliyochukua Ukraine ni sehemu ya Russia maana wanaongea kirusia na Mila na desturi zao ni za kirusi.
So pengine tungekaa kimakabila kama nchi tungeendelea sana.
Haiwezekani kwa mfano mapato ya madini na samaki Kanda ya ziwa yanaenda serikali kuu kwanza ndio mgawanyo unafanyika then eneo lililotoa mapato linapata mgao kidogo. Huo ni upuuzi.
Rasilimali za eneo husika zinufaishe kwanza wakazi wa eneo husika ndio maeneo mengine yapate.
By the way, ndio maana wanasema ulaya magharibi yote inaingia Congo Kinshasa na kubaki eneo kubwa TU.
Tanzania tuna makabila zaidi ya 100

Unataka tuwe na nchi 100?

Bora mze wako angevaa ndom tu
 
Back
Top Bottom