Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
- #21
Morning jinga jinga😆
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Morning jinga jinga😆
Una fahamu maana ya content kwanza??Wimbo wa mapenzi haujawah kua na Content hata siku moja. Wote tunayajua hayana muongozo. Content 00%
Ni Nyimbo Kali bro, Hawa majamaa wame zidi.Ukiwa mzur sana tauskia tu
Tusubirie tuoneNi Nyimbo Kali bro, Hawa majamaa wame zidi.
Hapana. Ni nini kwani?Una fahamu maana ya content kwanza??
Ume niambia nyimbo haina content, ndo mana nime kuuliza!?.Hapana. Ni nini kwani?
Sawa.Tusubirie tuone
Ila hauna maana, ujumbe usio na maana ni Content?Ume niambia nyimbo haina content, ndo mana nime kuuliza!?.
👉 Kwasababu content ki fasihi ni ujumbe unao patikana ndani ya kazi ya kifasihi.
Ujumbe ndani ya Nyimbo huu, mbona umo.
Nini maana ya ujumbe??, Una juaje ujumbe fulani hauna maana??.Ila hauna maana, ujumbe usio na maana ni Content?
Crazy beatsPromo mnatafta view ili muingia 1 trend sio
Unamaanisha mapenzi ndoujumbe wa maana?Nini maana ya ujumbe??, Una juaje ujumbe fulani hauna maana??.
Ujumbe ni kwa ajili ya kina nani??, Nini dhumuni la ujumbe.
👉Uki Elewa maswali yangu uta Elewa namaanisha nini.
Jibu maswali, usi kimbieUnamaanisha mapenzi ndoujumbe wa maana?
Ushanielewa mimi ni mvivu kujadili kitu nilichokwisha kukipinga ni kujichosha ubongo.Jibu maswali, usi kimbie
Sasa Kama hujui hata maana ya ujumbe, Mimi ni nani niji sumbue kubishana nawe.Ushanielewa mimi ni mvivu kujadili kitu nilichokwisha kukipinga ni kujichosha ubongo.
Nakushangaa kwanini unanibishia badala ubaki na msimamo wako uenjoy.Sasa Kama hujui hata maana ya ujumbe, Mimi ni nani niji sumbue kubishana nawe.
Wala siji sumbui, am playing on my own styleNakushangaa kwanini unanibishia badala ubaki na msimamo wako uenjoy.
Unyama sana💪Wala siji sumbui, am playing on my own style